Ulishazaliwa enzi hizo hata wazazi wako au ni ujinga ndiyo unakusumbua hadi ushabikie kitu ambacho hukuwahi kukiona?madrid historia yake ina semaje? mara kumi na ngpi? anaye mfata ana ngapi? wa epl ana ngapi?
Mbona una sahau haraka sana yaani 2016- 2018 hapa tu Real Madrid kachukua mara 3 in row umesahau?Ulishazaliwa enzi hizo hata wazazi wako au ni ujinga ndiyo unakusumbua hadi ushabikie kitu ambacho hukuwahi kukiona?
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app