Pongo Pongo
JF-Expert Member
- Jan 15, 2021
- 473
- 585
Punguza wengeNaombeni wasap no ya Mbappe.
Punguza wengeNaombeni wasap no ya Mbappe.
Nimempa namba yako. Atakutafuta.Naombeni wasap no ya Mbappe.
First to won the World Cup!?!!France become the first team to win the World Cup, Euros and Nations League...
Acha kihereherePunguza wenge
Sante mkuu.Nimempa namba yako. Atakutafuta.
World cup+Euro+national leagueFirst to won the World Cup!?!!
I got it, Senior!World cup+Euro+national league
OiFirst to won the World Cup!?!!
Ungeandika tu kwa kiswahili bro, lugha zingine muwe mnawaachia wenyewe.First to won the World Cup!?!!
Euro ni mashindano yanayofanyika kila baada ya miaka minne na yanaendeshwa kwa wiki nne tu!
Kwahiyo ni kama bonanza tu?Euro ni mashindano yanayofanyika kila baada ya miaka minne na yanaendeshwa kwa wiki nne tu!
Nations League ni ligi kwa timu za taifa ambapo mechi zake hufanyika wakati wa calendar ya FIFA / International week, ni ligi ambayo imekuja kuchukua nafasi ya mechi za kirafiki za timu za taifa ambazo zilkuwa hazipewi uzito sana na wachezaji
Watu wanajua kusaka pesa aiseee so bingwa wa kwanza wa nations league ni naniEuro ni mashindano yanayofanyika kila baada ya miaka minne na yanaendeshwa kwa wiki nne tu!
Nations League ni ligi kwa timu za taifa ambapo mechi zake hufanyika wakati wa calendar ya FIFA / International week, ni ligi ambayo imekuja kuchukua nafasi ya mechi za kirafiki za timu za taifa ambazo zilkuwa hazipewi uzito sana na wachezaji
PortugalWatu wanajua kusaka pesa aiseee so bingwa wa kwanza wa nations league ni nani
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app