ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Nilichelewa kuona timu zilipoingia uwanjani game ya Juve na Bayerliverkusen,nimetazama game toka dkk ya 12 hadi dkka ya 40 jirani ya niliyekaa nae tukaulizana Hivi ronaldo hayupo kweli ? Wote tuka assume hayupo na jirani zetu pale hawakusema lolote mpaka wanatoka half time.
Baada ya matangazo mechi ikaanza Cr7 kaja kuonekana dkka ya 57...tukasema aah yupo...kumbe..yupo,tukashangaa imekuaje ? Akapata chance zaidi ya 4 zingine niyeye na kipa..amezipoteza ! Mwenzetu mmoja hapo akatuambia jamaa kapoa sana sasa hivi na kwamba kuna game ya karibuni ya ligi italy juve walicheza Cr 7 hakupiga shoot hata moja ktk historia yake haijawahi tokea.. na statistis zake zote zilisoma 0.0....siku hiyo..sasa kwa aliyeshuhudia game ya leo atakubaliana na hoja ya huyu striker kuwa chini ya kiwango nowadays kwa asilimia kubwa japo dakika za mwisho alibahatika kufunga goli moja kati ya matatu walioshinda juve.
Baada ya matangazo mechi ikaanza Cr7 kaja kuonekana dkka ya 57...tukasema aah yupo...kumbe..yupo,tukashangaa imekuaje ? Akapata chance zaidi ya 4 zingine niyeye na kipa..amezipoteza ! Mwenzetu mmoja hapo akatuambia jamaa kapoa sana sasa hivi na kwamba kuna game ya karibuni ya ligi italy juve walicheza Cr 7 hakupiga shoot hata moja ktk historia yake haijawahi tokea.. na statistis zake zote zilisoma 0.0....siku hiyo..sasa kwa aliyeshuhudia game ya leo atakubaliana na hoja ya huyu striker kuwa chini ya kiwango nowadays kwa asilimia kubwa japo dakika za mwisho alibahatika kufunga goli moja kati ya matatu walioshinda juve.