BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,002
Hata kama PSG wamechomoa, bado naamini hatapona wakienda kwa Barca..
imekataa udinda mwasingizia period mwanaume lin akawa na prd sema umelewa au umeshndwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama PSG wamechomoa, bado naamini hatapona wakienda kwa Barca..
Siku nyingine usiulize online link, wewe bofya kati ya hizi hapa utaona kila kitu bwerere..Any online link?
Ndo sababu ikaitwa champions (ligi ya wababe). Usidharau timu yoyote kwenye UEFA.duu hawa psg ni noma..
Wana unoma gani hawa si kama chama lako la Chamazi tu, safari ndio imewadia hapo Camp Nou watapoteana hawa. Naombea Andunje awe ameumia sana kapumzike kidugo tupumue, kila mechi yumo utafikiri Kaseja.
Ndo sababu ikaitwa champions (ligi ya wababe). Usidharau timu yoyote kwenye UEFA.
Barca mbona wanafungika tu????
Siku nyingine usiulize online link, wewe bofya kati ya hizi hapa utaona kila kitu bwerere..
ATDee.Net - Watch Free Live Sports TV
na hii
Cristiano Ronaldo - CR7 - Real Madrid and Portugal | 2012-2013
hapo unapata football match yoyote ile..sawa The Invincible?
na hata mimi nashangaa mkuu wameanza kuiponda barca lakini hata mmoja halioni hili hebu waambiye waangalie laitani angalikua ndio mesi kafunga goli hili ungalisikia mengiKweli nyie binadamu mna chuki binafsi na Barça! Yaani hakuna hata mmoja kati yenu anayegusia kuwa Ibra alifunga akiwa offside ya wazi kabisa!!!
kuongea rahisi sababu mdomo haulipiwi kodi,PSG kwaheri,nawaheshimu ni wazuri ila pale estadio nou camp hata beki wamalize George Weah na Mrisho Ngasa mana Mascherano hatocheza,Barca ushindi tu,mechi ya marudiano hadi Ibrahimovic nae atarudi nyuma beki na itawagharimu maana kiungo wao bora Blaise Matuidi hatocheza,Thiago Silva kweli aliwasaidia ni beki mzuri namkubali laiti Barca wangempata huyu basi nina uhakika kipa Victor Valdes i Arribis au hata mimi tukikaa golini ni mechi 100 hatutookota mpira nyavuni,wanaweza kujitahidi kutoka kwa sare hata ya 0-0 au 1-1 lakini zaidi ya hapo PSG ni out kwa FC Barcelona hapo tarehe 10 April J5Barca mbona wanafungika tu????
Hawakawii kudai UEFA Champs Ligi(UCL) haina msisimko ni timu mbili tu na Messi na Ronaldo kila mechi wanafunga tu,na wakadai EPL ni > kuliko UEFA Champs LigiHivi wadau kwanini vyombo vya habari vya Uingereza SKYNEWS, BBC baada ya kutolewa timu zao hazitoi matokeo ya UEFA? Mf. mechi za jana
Shukrani mkuu wangu, Ukwelikitugani.