Cc Pinye
Senior Member
- May 31, 2021
- 184
- 223
Mwanzo mpira utaanza taratibu kwa timu zote kusomana, then naiona Chelsea ikipaki sana basi hivyo Man City watamiliki mpira muda mwingi wa mchezo, as soon as Man City wakipata goli la mapema ndio Chelsea watafunguka nao kwenda kushambulia hivyo kuacha gaps kwenye defence yao, mwisho wa siku Man City wataibuka na ushindi mnono wa magoli zaidi ya mawili.