Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Droo ya Klabu Bingwa Ulaya kwa msimu wa mwaka 2021-22 inachezeshwa leo huko Instanbul, Uturuki kuanzia majira ya saa 5pm (BST) au saa 1 jioni (Saa za Afrika Mashariki)
Timu 32 zitashiriki katika kupangiwa makundi, 26 zikiwa zimepita moja kwa moja na nyingine 6 zikitokea katika play-offs
Tumu zitapangwa katika makundi 8 yenye timu 4. Upangaji huo utatokana na makundi manne (Pots) yaliyowekwa sasa kabla ya upangaji.
Timu zinazotoka katika nchi moja hazitaweza kukutana katika hatua hii ya makundi
Pot 1 ina jumuisha Bingwa wa UEFA, EUROPA na Bingwa wa kila Ligi katika nchi 6. Pot 2, 3, 4 inajumuisha timu zilizopangwa kutokana na nafasi zao katika viwango vya UEFA
MATOKEO YA DROO
Timu 32 zitashiriki katika kupangiwa makundi, 26 zikiwa zimepita moja kwa moja na nyingine 6 zikitokea katika play-offs
Tumu zitapangwa katika makundi 8 yenye timu 4. Upangaji huo utatokana na makundi manne (Pots) yaliyowekwa sasa kabla ya upangaji.
Timu zinazotoka katika nchi moja hazitaweza kukutana katika hatua hii ya makundi
Pot 1 ina jumuisha Bingwa wa UEFA, EUROPA na Bingwa wa kila Ligi katika nchi 6. Pot 2, 3, 4 inajumuisha timu zilizopangwa kutokana na nafasi zao katika viwango vya UEFA
MATOKEO YA DROO