Bashite ni nini?Wenye vyeti wameelewa, kwani wewe ni sawa na Bashite?
DAB ndio nini?!!
Acha maneno weka vyeti mkuu wewe ni friends of Bashite?Sikudhani kama mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana kiasi hiki.
Una vyeti?Bashite ni nini?
Hatari sana hawa watu.Dawa ya ni kumsikimika kabisa Makonda awe mkuu wa mkoa wa utawala wa muda wote wa MagufuliSikudhani kama mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana kiasi hiki.
Ndio ushangae, Mwigulu na Nape utafikiri wamemwagiwa maji ya barafu. Ikitokea Makonda akatumbuliwa HAKUNA MTU MWINGINE YEYOTE ATAKAYEKUJA KUJARIBU KUPAMBANA NA WAUZA SEMBE - Binafsi nitawanyooshea MIKONO JUUSikudhani kama mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana kiasi hiki.
anaetakiwa kupambana na ngada ahakikishe hana makandokando kama ya bashite...ataeleweka vizr sana...hakuna anaetaka madawa ya kulevya nchini kwetu ila akiwa hana makandokando na awe wakwanza kutupia jiwe wauza unga...acha maneno weka vyeti!!Ndio ushangae, Mwigulu na Nape utafikiri wamemwagiwa maji ya barafu. Ikitokea Makonda akatumbuliwa HAKUNA MTU MWINGINE YEYOTE ATAKAYEKUJA KUJARIBU KUPAMBANA NA WAUZA SEMBE - Binafsi nitawanyooshea MIKONO JUU
Hakuna makandokando yoyote, hizi porojo nyingi ukiziona ni za KUCHONGA. Ukipambana nao wanaweza kusema kina fulani wamekuhonga usiwakamate au kama vipi unauza nao - Na inavyoonekana wamekeza sana kwenye SOCIAL MEDIA na MAGAZETIanaetakiwa kupambana na ngada ahakikishe hana makandokando kama ya bashite...ataeleweka vizr sana...hakuna anaetaka madawa ya kulevya nchini kwetu ila akiwa hana makandokando na awe wakwanza kutupia jiwe wauza unga...acha maneno weka vyeti!!
HahahaaaaaaaaSikudhani kama mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana kiasi hiki.
Kanye Tafadhali !Sikudhani kama mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana kiasi hiki.
sio vyetu ni vyetiHuo wimbo ni wa Darasa anamwambia Makonda aweke vyetu aache maneno, wau, tayari tumepata msamiati wa vilaza wa zero
Sikudhani kama mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana kiasi hiki.
sikudhani kama una akili ndogo kiasi hiki..Sikudhani kama mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana kiasi hiki.
Wacha maneno weka vyeti. Mleta mada ni mwanaccm mwenzako.Sikudhani kama mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana kiasi hiki.
Waulize kinachowapata wanaojifanya walokole halafu wanakemea wenye mapepo ili yawatoke shetani lazima akumalize.Sitaki kuamini kuwa bashite hata vyeti may be ni demands tu za front pages basi