Jana kulikua na hali tete pale UDSM hasa baada ya wanafunz wa chuo hiko kuanza kunyanyua mabango na pia kumzomea!kwao wao ndo ilikua ndo njia pekee ya kufikisha ujumbe huo kwani hawakua na njia ya kumweleza mr jk matatizo yao,
Lakin tunakumbuka kuwa wenzetu waishio USA walikuja na mbwembwe nying kuwa wataandamana ili kufikisha ujumbe kuwa wao hawaridhk na utawala wa mzee wa kaya,ila mwisho wa siku walikuja na excuse lukuki,kwa kilichotokea UD japo wengi tulishuhudia thru media ila ni ujumbe murua sana kwa watanzania wa kada zote,maisha ya udsm hasa kwenye malazi ni kizungumkuti,kukosa mikopo si wimbo wa jana au juzi,wana'udsm hongera zenu,UJUMBE UMEFIKA NA SALAM ZIMEPOKELEWA
Lakin tunakumbuka kuwa wenzetu waishio USA walikuja na mbwembwe nying kuwa wataandamana ili kufikisha ujumbe kuwa wao hawaridhk na utawala wa mzee wa kaya,ila mwisho wa siku walikuja na excuse lukuki,kwa kilichotokea UD japo wengi tulishuhudia thru media ila ni ujumbe murua sana kwa watanzania wa kada zote,maisha ya udsm hasa kwenye malazi ni kizungumkuti,kukosa mikopo si wimbo wa jana au juzi,wana'udsm hongera zenu,UJUMBE UMEFIKA NA SALAM ZIMEPOKELEWA