Apparent
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 220
- 110
Najua wenye mamlaka au wanaohusika na Utawala wa UDSM mnapita mitaa hii.
Je mwisho wake ni nini?
Hadi muda huu naandika sijui kama nina sup na sijui nini kinaendelea kwenye akaunti yangu ya ARIS.
Kisa nadaiwa 500,000TZS.
Je hamtambui kuwa duniani kuna masikini kama mimi?.
Nashauri mngenibana wakati wa kuchukua cheti ila sasahivi siwezi kupata pesa ninayodaiwa.
Vyuma vimekaza naomba muwe na utu,wengi nikiwaambia hili tatizo hawaamini kama kweli nadaiwa na wanachukilia kirahisi na wengine wanaomba taarifa zangu wakiona ni kweli wana lala mbele au wanaingia mitini.
UDSM naomba nisaidiwe ili niweze kuona matokeo yangu,kuna dalili mwaka wa tatu nitaendelea kuusikia kwenye vyombo vya habari na watu waliofanikiwa kuhitimu.
Je mwisho wake ni nini?
Hadi muda huu naandika sijui kama nina sup na sijui nini kinaendelea kwenye akaunti yangu ya ARIS.
Kisa nadaiwa 500,000TZS.
Je hamtambui kuwa duniani kuna masikini kama mimi?.
Nashauri mngenibana wakati wa kuchukua cheti ila sasahivi siwezi kupata pesa ninayodaiwa.
Vyuma vimekaza naomba muwe na utu,wengi nikiwaambia hili tatizo hawaamini kama kweli nadaiwa na wanachukilia kirahisi na wengine wanaomba taarifa zangu wakiona ni kweli wana lala mbele au wanaingia mitini.
UDSM naomba nisaidiwe ili niweze kuona matokeo yangu,kuna dalili mwaka wa tatu nitaendelea kuusikia kwenye vyombo vya habari na watu waliofanikiwa kuhitimu.