VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mchakato wa kugawa vitambulisho vya Uraia wa Tanzania umeshika kasi ambapo zoezi la kuchukua alama za vidole kieletroniki limefanyika jana UDSM. Hiyo ni hatua ya mwisho kuelekea kugawiwa kwa vitambulisho hivyo kwa 'raia' rasmi wa Tanzania. Zoezi hilo liliwahusisha wafanyakazi wa UDSM ambao walishajaza fomu za kuomba vitambulisho hivyo miezi michache iliyopita.
Kwani,ambao hatapata vitambulisho hivi hatakuwa raia wa Tanzania? Just curious
Kwani,ambao hatapata vitambulisho hivi hatakuwa raia wa Tanzania? Just curious