UDSM waita kwenye usaili

Fruit

Senior Member
Jan 1, 2013
193
54
Habari wapendwa,

Wale walioomba nafasi za kazi UDSM May 2016 wameanza kuita watu. Usaili utafanyika Jumatatu 04.07.2016.

Msikae mbali na simu zenu, mimi nimetumiwa SMS na kupigiwa simu.
 
Back
Top Bottom