UDSM: Siri ya kiongozi wa CHADEMA kuanzisha fujo wakati wa kusikiliza kesi ya Uchaguzi DARUSO

( kumekuwa na madai kuwa ktk uchaguzi huo aliyetangazwa mshindi hakushinda overall hata colleges moja kati ya 12 , japo supporters wake wanajinasibu kuwa siri ya ushindi anaijua bwana kinemo)
 
Mleta mada umekimbilia wapi? Njoo utoe ufafanuzi wa mada yako watu tumeshindwa kuelewa!!
 
Sio siri tena baada ya moja ya inayosadikiwa kuwa document iliyosheheni hoja za mmoja wa wagombea anae dai kuwa ndiye aliyeshinda uchaguzi wa URAIS UDSM Bwana Evarist Matulanya ku leak, kulingana na maelezo ya moja ya wajumbe wa Judicial organ iliyoketi siku ya Alhamisi , aliyekuwa Mwenyekit wa Organ hiyo ambae pia ni kiongozi wa BAVICHA bwana Kinemo alianzsha fujo ili kuuzima mchakato wa usikilizwaji wa kesi ikiwa ni pamoja na kumtolea lugha chafu Mshauri wa wanafunzi ili aweze kuondoka kikaoni hapo,( kulingana na kanuni zao, mshauri anapotoka nje basi shughuli nzima inakuwa batili) , inasemekana huu ni mpango ulio andaliwa na master plan wa shughuli za Chadema ndani ya viunga vya chuo kikuu cha Dar es salaam, bwana Charles William ambaye pia ni mfanyakazi wa gazeti la Mwanahalisi . ( kumekuwa na madai kuwa ktk uchaguzi huo aliyetangazwa mshindi hakushinda overall hata colleges moja kati ya 12 , japo supporters wake wanajinasibu kuwa siri ya ushindi anaijua bwana kinemo)View attachment 798150
Mkuu andika kwa kiswahili wengine hatuelewi kisukuma.
 
Mtoa post,karibu sana shuleni kwangu...japo shule zimefungwa lkn drs la saba,la nne na watoto wasiojua KKK ( kusoma kuandika na kuhesabu) wamebaki so,njoo nikuunganishe kwenye drs la kkk!
 
Sio siri tena baada ya moja ya inayosadikiwa kuwa document iliyosheheni hoja za mmoja wa wagombea anae dai kuwa ndiye aliyeshinda uchaguzi wa URAIS UDSM Bwana Evarist Matulanya ku leak, kulingana na maelezo ya moja ya wajumbe wa Judicial organ iliyoketi siku ya Alhamisi , aliyekuwa Mwenyekit wa Organ hiyo ambae pia ni kiongozi wa BAVICHA bwana Kinemo alianzsha fujo ili kuuzima mchakato wa usikilizwaji wa kesi ikiwa ni pamoja na kumtolea lugha chafu Mshauri wa wanafunzi ili aweze kuondoka kikaoni hapo,( kulingana na kanuni zao, mshauri anapotoka nje basi shughuli nzima inakuwa batili) , inasemekana huu ni mpango ulio andaliwa na master plan wa shughuli za Chadema ndani ya viunga vya chuo kikuu cha Dar es salaam, bwana Charles William ambaye pia ni mfanyakazi wa gazeti la Mwanahalisi . ( kumekuwa na madai kuwa ktk uchaguzi huo aliyetangazwa mshindi hakushinda overall hata colleges moja kati ya 12 , japo supporters wake wanajinasibu kuwa siri ya ushindi anaijua bwana kinemo)View attachment 798150

Dogo soma acha ujinga!!
 
Nimegundua ujinga wako ni kipaji.
Sasa ndo umeandika uhalo gani?
Hauhitaji kuwa na elimu ya chuo kuandika ujinga kama huu
 
CCM ya kutoa waraka kila kukicha mpka vyuoni,nchi inamatatizo lukuki ya umuhimu ila mazazwa ya awamu hii wao ni kuzuia kila ushindi ili washinde wao,awamu ya wajinga
 
Hili tutusa lipo chuo kikuu kweli au? mbona andika yake kama mtoto wa form 2 ya kata? aibu! kaazi kweli kweli! vijana wa Lumumba akili zenu mnazijua wenyewe.
 
Sio siri tena baada ya moja ya inayosadikiwa kuwa document iliyosheheni hoja za mmoja wa wagombea anae dai kuwa ndiye aliyeshinda uchaguzi wa URAIS UDSM Bwana Evarist Matulanya ku leak, kulingana na maelezo ya moja ya wajumbe wa Judicial organ iliyoketi siku ya Alhamisi , aliyekuwa Mwenyekit wa Organ hiyo ambae pia ni kiongozi wa BAVICHA bwana Kinemo alianzsha fujo ili kuuzima mchakato wa usikilizwaji wa kesi ikiwa ni pamoja na kumtolea lugha chafu Mshauri wa wanafunzi ili aweze kuondoka kikaoni hapo,( kulingana na kanuni zao, mshauri anapotoka nje basi shughuli nzima inakuwa batili) , inasemekana huu ni mpango ulio andaliwa na master plan wa shughuli za Chadema ndani ya viunga vya chuo kikuu cha Dar es salaam, bwana Charles William ambaye pia ni mfanyakazi wa gazeti la Mwanahalisi . ( kumekuwa na madai kuwa ktk uchaguzi huo aliyetangazwa mshindi hakushinda overall hata colleges moja kati ya 12 , japo supporters wake wanajinasibu kuwa siri ya ushindi anaijua bwana kinemo)View attachment 798150
Rubbish
 
Sio siri tena baada ya moja ya inayosadikiwa kuwa document iliyosheheni hoja za mmoja wa wagombea anae dai kuwa ndiye aliyeshinda uchaguzi wa URAIS UDSM Bwana Evarist Matulanya ku leak, kulingana na maelezo ya moja ya wajumbe wa Judicial organ iliyoketi siku ya Alhamisi , aliyekuwa Mwenyekit wa Organ hiyo ambae pia ni kiongozi wa BAVICHA bwana Kinemo alianzsha fujo ili kuuzima mchakato wa usikilizwaji wa kesi ikiwa ni pamoja na kumtolea lugha chafu Mshauri wa wanafunzi ili aweze kuondoka kikaoni hapo,( kulingana na kanuni zao, mshauri anapotoka nje basi shughuli nzima inakuwa batili) , inasemekana huu ni mpango ulio andaliwa na master plan wa shughuli za Chadema ndani ya viunga vya chuo kikuu cha Dar es salaam, bwana Charles William ambaye pia ni mfanyakazi wa gazeti la Mwanahalisi . ( kumekuwa na madai kuwa ktk uchaguzi huo aliyetangazwa mshindi hakushinda overall hata colleges moja kati ya 12 , japo supporters wake wanajinasibu kuwa siri ya ushindi anaijua bwana kinemo)View attachment 798150
Nadhani ulikuwa Night Club muda huu. Baada ya kulewa ndio ukaamua kutuletea haya madudu...
 

Attachments

  • IMG_20180609_041601.png
    IMG_20180609_041601.png
    115.6 KB · Views: 37
Halafu kuna watu bado wanaamini kusoma UDSM ndio unaonekana "kichwaa" hahahahahaha kazi ipo! (Allumn wa chuo hiki sitaki povu)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom