kuendelea kusoma kwa akili zipi?Siku nilimaliza undergraduate hapo niliapa kutoenda tena kusoma!
Urasimu mwingi sana mlimani khaa
Sasa kama ulikuwa unashinda mabibo hostel unacheck porno bila kuhudhuria vipindi,utapapenda udsm kweli?Siku nilimaliza undergraduate hapo niliapa kutoenda tena kusoma!
Urasimu mwingi sana mlimani
Kwanza sijawahi ishi mabibo. Pia siangalii porn kisha nilipata GPA nzuri tu hapoSasa kama ulikuwa unashinda mabibo hostel unacheck porno bila kuhudhuria vipindi,utapapenda udsm kweli?
Hii chuo cha washamba wengi mazwazwazwa sijawahi fikiri nitakuja soma UD wala haitotokea mizwazwa yote imetokea hapo. Km unabisha we subiri reaction zaoKama hamuwezi kutumia system mmeanzisha ya nini. Approval inakaa pending kwa Mkuu wa idara mwezi mzima. Mnatesa wanafunzi masters Na PhD. Acheni hizo.