ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
ha ha ha sawa mzee mwenzangu
Maana hawa machandrama mcharuko hawa shindwi kukubadilishia kibao walahi
ha ha ha sawa mzee mwenzangu
Maana hawa machandrama mcharuko hawa shindwi kukubadilishia kibao walahi
Swafiiii sana walahiKiukweli sio Tanzania, inaweza kuwa moja ya maktaba bora Africa
China to build Africa's biggest university library in Tanzania|Africa|chinadaily.com.cn
Muda wote huo unakuwa JF huna kazi za kufanya?Mkuu acha Uwongo wako bhana na sijawahi kupotea hapa Jamvini JamiiForums labda Wewe ndiyo ulikuwa umepotea. Haya nakupa Masaa yangu ambayo lazima tu unipate humu na ikitokea sipo katika haya Masaa ninayokuwekea hapa basi jua kuwa nimepatwa na dharula moja kubwa ili Mimi na JamiiForums ni damu damu daima na ukitaka tugombane niambie nisiwepo hapa.
Saa 3 Kamili asubuhi hadi Saa 6 Kamili mchana ( nakuwepo JamiiForums )
Saa 8 Kamili mchana hadi Saa 10 Kamili jioni / Saa 10 Kamili jioni hadi Saa 12 Kamili jioni ( nakuwepo JamiiForums )
Saa 4 Kamili usiku hadi Saa 6 Kamili usiku / Saa 4 Kamili usiku hadi Saa 7 Kamili usiku ( nakuwepo JamiiForums )
Kila la kheri Mkuu na tupo pamoja!
we na nani?Tupo nawe rais Magufuli
Nyie kalimeni korosho, maktaba watasoma wanajeshi wetu
Indeed walahiTupo nawe rais Magufuli
we na nani?
Tusaidie kutuulizia je na wale ' Sycophants Professors ' nao watakuwepo eneo la tukio?
Mkuu kwani hii habari ni ya Ki Siasa mpaka uilete kwenye hili Jukwaa ?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe.Dr. John Pombe Magufuli,kesho tarehe 27/11/2018,anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za uzinduzi wa Maktaba ya Kisasa na Kituo cha Kichina katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam almaarufu kama UDSM.
Taarifa zilizotolewa na Mamlaka za UDSM zinadokeza kuwa Maktaba hiyo ya kisasa na Kituo cha Kichina vinavyozinduliwa kesho vipo kwenye eneo la mita za mraba 20,000. Katika Maktaba hiyo,pamoja na mambo mengine, kuna sehemu za kujisomea,sehemu za kuhifadhi vitabu,ofisi za wafanyakazi na ukumbi wa kisasa wa mihadhara na mikutano.
Ikumbukwe kuwa Rais Magufuli ndiye aliyeweka jiwe la msingi katika ujenzi huo uliofanywa na Kampuni ya Kichina ya Jiangsu Jiangdu. Kupitia ufunguzi huo,Rais Magufuli anatazamiwa kuongea na Taifa kutokea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anachokitaja kama akipendacho na kukiheshimu.
Hapa kazi tu!
Maktaba ya Kisasa na Kituo cha Kichina katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Unataka mods wahamishe uzi huu wa wakili msomi kwenye jukwaa la elimuMods toeni hii habari kwenye jukwaa letu tukufu la Siasa
Naaam Mkuu,huu uzi kwake ni Jukwaa la Elimu.Unataka mods wahamishe uzi huu wa wakili msomi kwenye jukwaa la elimu
Ova
Wewe uliziona mbwembwe za akina Kabudi na Mwakyembe kwenye mchakato wa katiba mpya?........ Hao ndio waalimu wa kina Tundu Lisu na Mdee!Kwa hiyo elimu wanayoitoa hao 99% CCM profs ni elimu ya uongo/laghai kama ilivyo chama chao!?
**China aids**Habari si kamilifu
Kituo cha kichina cha kufanyia nini?
Nyie lumpen mliozoea kudanganywa kuwa hostel za udsm zilijengwa kwa 10 bil na mkaamini na kushangiliaHapana! Lazima aseme kidogo maana usikute jengo hilo limejengwa kwa bilioni 9 badala ya gharama halisi ya bilioni 2.