UDSM mnaharibu future za wadogo zetu.

Check haya matokeo ya course works za hawa vijana wa mwaka wa kwanza pale udbs uone jinsi hiki chuo kikongwe kinavyotumika kuharibu future za wadogo zetu.hizi ni course works za accounting na finance tu.
Elimu ya hii nchi tunaizika taratibu ukichunguza hao wanao soma hiyo accounts utakuta wengi wao ni walisoma masomo ya science high level

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Check haya matokeo ya course works za hawa vijana wa mwaka wa kwanza pale udbs uone jinsi hiki chuo kikongwe kinavyotumika kuharibu future za wadogo zetu.hizi ni course works za accounting na finance tu.
Sijaelewa kunashida gani ......

40marks plus 60 UE =100

Course work :-
~10 Quiz
~20 Test
~10 Assignment

Sasa hujaelewa nini ????

Hata mimi nimesoma hapo UDSM na ndo hivyo sasa wewe swali lako lipi?

Au walivyojaziwa INCOMPLETE ????

Ndo mjue huko siyo secondary ukipewa Quiz fanya ukipewa test fanya pia au assignment fanya....

Kama hujafanya Assigment unataka uwekewe 0 hivi wewe hujui 0 pia ni namba huwezi kuwekea kwakuwa huja ifanyia kazi kupata hiyo 0 so matokeo yako ni incomplete. ...

Ukiwa UDSM fuata kilicho kupeleka siyo unakomaaa na UE ukadharau Course work ni bora upate 0 kuliko incomplete ....

NB.
0 its a number you have to earn it ..... soma wacha ujinga



Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyie wafanya usafi hapo udsm mna matatizo sana.
ni kwamba huoni hizo incomplete mkuu,ni kwamba kwa sheria za vyuo vikuu,hao watu wote wenye incomplete wanatakiwa kudisco,sasa huoni kama hiyo idadi ni kubwa sana kwa hao vijana kudisco?
 
Sijaelewa kunashida gani ......

40marks plus 60 UE =100

Course work :-
~10 Quiz
~20 Test
~10 Assignment

Sasa hujaelewa nini ????

Hata mimi nimesoma hapo UDSM na ndo hivyo sasa wewe swali lako lipi?

Au walivyojaziwa INCOMPLETE ????

Ndo mjue huko siyo secondary ukipewa Quiz fanya ukipewa test fanya pia au assignment fanya....

Kama hujafanya Assigment unataka uwekewe 0 hivi wewe hujui 0 pia ni namba huwezi kuwekea kwakuwa huja ifanyia kazi kupata hiyo 0 so matokeo yako ni incomplete. ...

Ukiwa UDSM fuata kilicho kupeleka siyo unakomaaa na UE ukadharau Course work ni bora upate 0 kuliko incomplete ....

NB.
0 its a number you have to earn it ..... soma wacha ujinga



Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu,huoni kama kuna tatizo hapo,inawezekanaje watu hao wakawa na incomplete?
 
Back
Top Bottom