Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 245
Swala la wanafunzi 1600 wa intake mpya Udsm inahatarisha Hali ya chuo Juzi Maboko alifikia kukataa kuwaadmit wanafunzi wasio na mkopo kwa kuhofia Mgomo Je tutafika ?↲
Nawasilisha
Nawasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usipate taabu sana nenda tu hakuna maisha ya siyokuwa na changamoto, na changamoto katika maisha hufanya akili ikue!!!mhh, mungu nisaidie, maana wamenipanga huko!
kweli kabisa, 'changamoto' ni mwalimu tosha kwa jamii!usipate taabu sana nenda tu hakuna maisha ya siyokuwa na changamoto, na changamoto katika maisha hufanya akili ikue!!!
kwa mantiki ya thread hii maboko ndio atakua chanzo cha mgomo eeeeh?! Basi mmepona ngoja wagombane wao tu nyie tulieni, pigeni shule halafu maboko ndio atamalizana nao juu kwa juu!
kama maboko anaogopa wanafunzi 1600 na pale udom patakuwaje?!!! Coz idadi hiyo ya udsm x3 ndio waliotupeleka udom bila ya mikopo. Saidi mwema ajiandae na wale vijana wake wa ffu harufu ya migomo inanukia kwakwli...
usipate taabu sana nenda tu hakuna maisha ya siyokuwa na changamoto, na changamoto katika maisha hufanya akili ikue!!!
mambo ya mkopo yanatatiza,kwa mfano mtu ana div one kwao ni matawi.pia nae anapewa mkopo?maskini ana div two ananyimwa mkopo?
kweli? Kama ni hivyo nimefurah sana kwa kuwa mimi ni mwanaharakati.<font size="4"><font color="#800080">mkuumbushe udsm ni chuo cha harakati, kudai haki na uhuru wa mtz.
maboko hana kosa,kosa lipo kwa watoa mikopo.kwa nn wengine wamekosa mikopo?