tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Mwanzo mlisema hela ya kukodi joho ni tsh. 42,000 { sijajua mmetumia vigezo gani}, kabla ya hili halijaisha wamekuja na sh. 5000 ambayo hawakuisema mwanzon, wanadai ya mhur na TRA. Hivi kuvaa joho pekee nitumie 47,000 kwa lipi hasa? Tafuten pesa lakin si kwa stahil hii.