KIJOME JF-Expert Member Jun 7, 2012 3,084 732 Nov 24, 2012 #2 Safi sana,imetulia mkuu,kazi kwa mawaziri wa magamba watasepa kwa visingizio kibao,si ajabu wengine wakasema wana tumbo la kuhara...
Safi sana,imetulia mkuu,kazi kwa mawaziri wa magamba watasepa kwa visingizio kibao,si ajabu wengine wakasema wana tumbo la kuhara...
Mkuu rombo JF-Expert Member Oct 18, 2012 1,556 422 Nov 24, 2012 #4 aiseeeeeee babaangu hao mawaziri lazima wale kona mkuu wa nchi alisema hataki midahalo
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 51,967 41,448 Nov 24, 2012 #5 Aisee huo mdaharo ni wa uhakika kabisa sipati picha hivyo vichwa!
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 16,372 17,139 Nov 24, 2012 #6 Kuna mawaziri hapo kama nawaona vile watakimbia...live!hawajiamini
J JokaKuu Platinum Member Jul 31, 2006 30,269 54,664 Nov 24, 2012 #7 ..hapo kwenye amani na utulivu msikose kumshirikisha mwanahistoria Mohamed Said. ..rasilimali na maendeleo ya uchumi u need ppl like Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Prof.Mwita Wangwe, Balozi.Juma Mwapachu, etc. ..kwenye elimu na maendeleo mumshirikishe Haki Elimu, Dr.Joyce Ndalichako, Tabitha Siwale, Dr.Jabir Kuwe Bakari, Prof.Idris Rai, Prof.Mathew Luhanga, Dr.Nderakindo Kessy, etc NB: ..Magufuli hapaswi kualikwa hapo. he is too partisan. ..hawezi kuzungumza sentensi mbili bila kumtaja "Laisi Jakaya Mlisho Kikwete" na "ilani ya CCM ukulasa wa 34 mpaka 38."
..hapo kwenye amani na utulivu msikose kumshirikisha mwanahistoria Mohamed Said. ..rasilimali na maendeleo ya uchumi u need ppl like Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Prof.Mwita Wangwe, Balozi.Juma Mwapachu, etc. ..kwenye elimu na maendeleo mumshirikishe Haki Elimu, Dr.Joyce Ndalichako, Tabitha Siwale, Dr.Jabir Kuwe Bakari, Prof.Idris Rai, Prof.Mathew Luhanga, Dr.Nderakindo Kessy, etc NB: ..Magufuli hapaswi kualikwa hapo. he is too partisan. ..hawezi kuzungumza sentensi mbili bila kumtaja "Laisi Jakaya Mlisho Kikwete" na "ilani ya CCM ukulasa wa 34 mpaka 38."
Rweye JF-Expert Member Mar 16, 2011 16,958 7,512 Nov 24, 2012 #10 mbona imefutwa jamani mie naona mpunga tu
Nyakageni JF-Expert Member Feb 1, 2011 15,048 5,092 Nov 24, 2012 #11 Deleted! Inform the mods to delete it