Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Fikiria Vizuri sana, ipo siku wataishiwa mabomu ya machizi, fikiria nini kitawapata hawa!, hivi umefatilia mbeya! polisi inaanza kurudi nyuma sasa wananchi wanakwenda kwa mkuu wa mkoa.
Kuna washawasha check chini hapo ipo nyuma ya rev square inawasubilia