UDSM: Kanisa Katoliki/ CCT walizuiwa kujenga uzio wa kanisa; wangejenga UNGEBOMOLEWA!

Mikopo Chefuchefu

JF-Expert Member
May 15, 2017
3,373
6,756
Kuweka record clear,
Kama mnavyofahamu pale UDSM kanisa Katoliki na makanisa yaliyoko chini ya jumuia ya CCT wanatumia kanisa moja kwa maana ya jengo;

Miaka ya nyuma walikuwa wametenga fedha za kujenga uzio kuzunguka kanisa hilo.

Japo fedha zilikuwepo, ujenzi huo haukuwezekana 'mpaka wa leo' kwa kuwa walinyimwa kibali cha kufanya hivyo na chuo.
Tena walinyimwa kibali kwa sababu za kuudhi, eti uzio huo 'ungechafua mazingira ya chuo'.

Iwapo kanisa lingetumia mabavu kujenga uzio, uzio huo ungebomolewa 'bila huruma' na chuo.
Mwisho wa taarifa.
 
Mleta mada umeshafuatilia vya kutosha kama huo uzio uilitakiwa kujengwa ndani ya ramani ya ardhi iliyotengwa kwa ajili ya kanisa AU walitaka kuchukua kieneo nje ya ramani?

Tatizo la kuzuia kujengwa uzio ni Tofauti kabisa na kuzuia Watu kujenga Nyumba za Kumuabudu Mungu wakati Ramani ya UDOM ukiiona imetenga kabisa maeneo ya kujengwa nyumba hizo!

Kwa jinsi ninilivyofuatilia suala hili la Ndugu zetu Waislamu siyo kwamba eti kwa wao kuruhusiwa kujenga Msikiti basi wanataka wenye kutaka kujenga Kanisa wasijenge!. Bali inaonekana ni as if Sisi Wakiristo tumekuwa na ushindani usio na maana kwa kudai kuwa kama Waislamu wakijenga msikiti basi na sisi tujenge kanisa!!. Sasa kwani kuna mtu katukataza kujenga kanisa si tujenge tu kwenye maeneo tutakayopewa kwani shida ya nni? TUSIWE WANYIMI!!!
 
Mleta mada umeshafuatilia vya kutosha kama huo uzio uilitakiwa kujengwa ndani ya ramani ya ardhi ilyotengwa kwa ajili ya kanisa AU walitaka kuchukua kieneo nje ya ramani?

Tatizo la kuzuia kujengwa uzio ni Tofauti kabisa na kuzuia Watu kujenga Nyumba za Kumuabudu Mungu wakati Ramani ya UDOM ukiiona imetenga kabisa maeneo ya kujengwa nyumba hizo!

Kwa jinsi ninilivyofuatilia suala hili la Ndugu zetu Waislamu siyo kwamba eti kwa wao kuruhusiwa kujenga Msikiti basi wanataka wenye kutaka kujenga Kanisa wasijenge!. Bali inaonekana ni as if Sisi Wakiristo tumekuwa na ushindani usio na maana kwa kudai kuwa kama Waislamu wakijenga msikiti basi na sisi tujenge kanisa!!. Sasa kwani kuna mtu katukataza kujenga kanisa si tujenge tu kwenye maeneo tutakayopewa kwani shida ya nni? TUSIWE WANYIMI!!!
Mkuki kwa nguruwe! Kwa binadamu-
mchungu!
 
Naona mleta mada anajaribu kutaka kubalance suala la Waislamu kuzuiwa kujengwa msikiti UDOM na kuzuiwa kujenga Uzio wa Kanisa UDSM, hivi ni vitu tofauti kabisa

Kwanza UDSM , msikiti na Kanisa vipo tayari
Uzio ni extra thing huwezi kulinganisha Uzio wa Kanisa na Kanisa lenyewe
Au huwezi kulinganisha uzio wa Msikiti na msikiti wenyewe
Watu hawaabudu katika uzio, wanaabudu ndani ya makanisa na misikiti!
 
HATUTAKI KUJENGA NYUMBA ZA IBADA KATIKA TAASISI ZA SERIKALI.SERIKALI HAINA DINI

Serikali haimiliki Taasisi, Taasisi ni mali ya Umma
Hata serikali pia ni Taasisi na ni mali ya Umma vilevile
Umma una tamaduni zake, dini ni sehemu ya utamaduni wao
Umma ukitaka Misikiti na Makanisa vijengwe katika taasisi zake basi haina budi vijengwe tu!!
 
Kuweka record clear,
Kama mnavyofahamu pale UDSM kanisa Katoliki na makanisa yaliyoko chini ya jumuia ya CCT wanatumia kanisa moja kwa maana ya jengo;
Miaka ya nyuma walikuwa wametenga fedha za kujenga uzio kuzunguka kanisa hilo.
Japo fedha zilikuwepo, ujenzi huo haukuwezekana 'mpaka wa leo' kwa kuwa walinyimwa kibali cha kufanya hivyo na chuo.
Tena walinyimwa kibali kwa sababu za kuudhi, eti uzio huo 'ungechafua mazingira ya chuo'...
Iwapo kanisa lingetumia mabavu kujenga uzio, uzio huo ungebomolewa 'bila huruma' na chuo.
Mwisho wa taarifa.
Lakini kanisa limejengwa.

Udom hawajazuiliwa kujenga uzio bali jengo la msikiti.

Hivyo basi comparison yako kati ya kuzuiliwa kujengwa uzio wa jengo ambalo limeshakamilika na linatumika kwa ibada na jengo la msikiti ambalo lilikuwa halijaisha ni invalid.


Mnatumia nguvu nyingi sana kupinga kitu ambacho hakiwahusu na wala hakina madhara yoyote kwenu.

Sijui roho hizi za kwanini mnazitolea wapi!
 
Lakini kanisa limejengwa.

Udom hawajazuiliwa kujenga uzio bali jengo la msikiti.

Hivyo basi comparison yako kati ya kuzuiliwa kujengwa uzio wa jengo ambalo limeshakamilika na linatumika kwa ibada na jengo la msikiti ambalo lilikuwa halijaisha ni invalid.


Mnatumia nguvu nyingi sana kupinga kitu ambacho hakiwahusu na wala hakina madhara yoyote kwenu.

Sijui roho hizi za kwanini mnazitolea wapi!
Nguvu hii kubwa ya kujenga UDom sijui mnaitoa wapi! Mbona kwenye kile chuo cha Morogoro tangu mpewe bure na Mkapa zaidi ya miaka 16 iliyopita hamjawahi kujenga hata choo cha makuti! Onyesheni basi mfano kwa kuongeza structure kwenye chuo chenu pale Morogoro!
 
Kuweka record clear,
Kama mnavyofahamu pale UDSM kanisa Katoliki na makanisa yaliyoko chini ya jumuia ya CCT wanatumia kanisa moja kwa maana ya jengo;
Miaka ya nyuma walikuwa wametenga fedha za kujenga uzio kuzunguka kanisa hilo.
Japo fedha zilikuwepo, ujenzi huo haukuwezekana 'mpaka wa leo' kwa kuwa walinyimwa kibali cha kufanya hivyo na chuo.
Tena walinyimwa kibali kwa sababu za kuudhi, eti uzio huo 'ungechafua mazingira ya chuo'...
Iwapo kanisa lingetumia mabavu kujenga uzio, uzio huo ungebomolewa 'bila huruma' na chuo.
Mwisho wa taarifa.
umepewa eneo ujenge kanisa na sio uzio kwani unataka ufiche nini hasa?, lakini Udom wamepewa eneo la kujenge msikiti nao wakajenga hakuna walichopunguza au ongeza. hii ina maana wako sahihi
 
Back
Top Bottom