UDSM mlitangaza nafasi kwa watumishi wa umma kuhamia, na katika tangazo lenu mliweka mpaka scale za mishahara kwa ambao watafanikiwa kupata nafasi hizo.
Mdogo wangu ni mmoja wa watu waliofanikiwa kuomba nafasi hizo na kufanikiwa kupata! ana siku kadhaa sasa toka ameanza kazi hapo. Kilichoniumiza ni kumpa mkataba wenye kiwango tofauti na salary scale mliyoweka katika tangazo lenu, tena kwa tofauti kubwa sana.
Mdogo wangu amekuwa disapointed sana, kwakuwa anenda kufanya kazi na watu kwenye ofisi ambayo watu wa level yake na kada yake wanalipwa mshahara wa juu zaidi karibu mara mbili!!
Japo ni kijana ambaye hana cha kufanya lakini sisi ndugu zake tumeumia,ni bora mngewaambia hao vijana na sio kuwasainisha tu kisa hawana pa kusemea!! hili halikubaliki kibinadamu! watu waliomba kuhamia kwa vigezo mlivyoweka, kwanini mbadilike wakati tayari wameshapewa barua kutoka katibu mkuu utumishi?
Ni bora msingeweka salary scale, ili basi mtu ahamie kwa risk yake mwenyewe!
Sasa ivi mdogo wangu ni kama amekosa muelekeo wa hatma yake! hili jambo limeniumiza sana,
Kwakweli, hata hao utumishi sijajua walitoa vipi kibali cha kiruhusu nafasi za uhamisho alafu mwisho wa siku mnawageuka! Jamani hii sio sahihi, fikirieni tena kuwaweka watumishi wenye elimu ngazi moja, sifa sawa, uzoefu miaka sawa, lakini mmoja analipwa juu zaidi ya mwingine! hii sio sawa.
Utumishi wasaidieni hawa vijana walio hamia UDSM, maamuzi yenu yamemuathiri sana mdogo wangu, japo kwa maelezo yake anasema wapo wengine pia wamekutana na masaibu hayo, na hawana pa kusemea.
Naamini wenye uwezo watasaidia .
Mdogo wangu ni mmoja wa watu waliofanikiwa kuomba nafasi hizo na kufanikiwa kupata! ana siku kadhaa sasa toka ameanza kazi hapo. Kilichoniumiza ni kumpa mkataba wenye kiwango tofauti na salary scale mliyoweka katika tangazo lenu, tena kwa tofauti kubwa sana.
Mdogo wangu amekuwa disapointed sana, kwakuwa anenda kufanya kazi na watu kwenye ofisi ambayo watu wa level yake na kada yake wanalipwa mshahara wa juu zaidi karibu mara mbili!!
Japo ni kijana ambaye hana cha kufanya lakini sisi ndugu zake tumeumia,ni bora mngewaambia hao vijana na sio kuwasainisha tu kisa hawana pa kusemea!! hili halikubaliki kibinadamu! watu waliomba kuhamia kwa vigezo mlivyoweka, kwanini mbadilike wakati tayari wameshapewa barua kutoka katibu mkuu utumishi?
Ni bora msingeweka salary scale, ili basi mtu ahamie kwa risk yake mwenyewe!
Sasa ivi mdogo wangu ni kama amekosa muelekeo wa hatma yake! hili jambo limeniumiza sana,
Kwakweli, hata hao utumishi sijajua walitoa vipi kibali cha kiruhusu nafasi za uhamisho alafu mwisho wa siku mnawageuka! Jamani hii sio sahihi, fikirieni tena kuwaweka watumishi wenye elimu ngazi moja, sifa sawa, uzoefu miaka sawa, lakini mmoja analipwa juu zaidi ya mwingine! hii sio sawa.
Utumishi wasaidieni hawa vijana walio hamia UDSM, maamuzi yenu yamemuathiri sana mdogo wangu, japo kwa maelezo yake anasema wapo wengine pia wamekutana na masaibu hayo, na hawana pa kusemea.
Naamini wenye uwezo watasaidia .