Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,496
- 3,233
Msisahau Masanduku na Matranka yenu ni Muhimu sana kuna wezi UkuHabari za wakati huu,
Wale tuliochanguliwa UDSM kwa mwaka wa masomo 2020/2021, karibuni tupeane details zinazoendelea kwa ajiri ya joining instructions, Admission letter na hata taratibu mbalimbali za chuo.
Wakongwe pia wa UDSM karibuni kwa maoni yenu, ushauri na hata mtupe taswira ya mazingira hapo UDSM.
Nawasilisha.