mimi nimefanya,lakini hakuna jipya zaidi wala usihangaike kusoma usiku kucha,ni mtihani ambao una-reflect uwezo wako ki-ujumla na sidhani kama utashindwa!!!kuna Prof mmoja mtu mzima alinifanyia assesment na kwa kwli alikuwa fair sana!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.