UDSM: CoET Wagoma

Mkanya

JF-Expert Member
Feb 14, 2008
599
14
Wadau Kama Kuna Mtu Anazo Data Atupe Ila Huu Ndio Ukweli Wa Mambo Mpaka Naingia Mtambo Sasa Hivi Yaani.
Hawa Jamaa Wamegoma Wote Kabisa.
Ila Sijapata Full Sababu Za Kuwasababisha Wagome.

Wadau Kama Kuna Mtu Mwenye Data Atupe Uwanja Huu Hapa.
 
Chanzo Ni Uchaguzi Wa Viongozi Wa Daruso

Lakini Leo Kuanzia Saa 9 Mpaka Sasa Hivi Kumekuwa Na Maandamano Hapa Udsm Ya Wanafunzi Hao Hao

Inawezekana Kesho Chuo Kikafungwa Kama Hali Ikiendelea Kuwa Hiyo
 
Wamegomea nini tenaa....au mitihani...???maana wanafunzi nao wana mambo sanaa...wanaogopa mitihanii na wanasingizia mambo mengine
 
Hapo pananifanya niitamani sera ya haki za binadamu ya China,Ukigoma tunakuletea Karandinga,wanafunzi wao kama watoto vle heshima kwenda nyuma...Hawa jamaa hawaishi kugoma..Kipindi nasoma Mzumbe nilisikia maramoja tu jamaa wa MU wakigoma tena ilikuwa kwa masaa lakini hawa wa UD kila siku kama Chai...lol
 
nimeongea na jamaa mmoja alioko huko tanzania, kuwa vipi chuoni? akaniambia ni watu tu sasa wameona deal kuwa wanaweza kutafuta majina kwamba waliwahi kuongoza migomo hata kama hakuna sababu. mfano hili la sasa hivi ni propaganda tu za watu wachache wanataka kujenga future esteem, si uajua wakisikia Sitta aliwahi ongoza mgomo basi na wao wanataka kuwa vile.
 
hapana waheshimiwa wanagomea kulilia haki zao.....kama wao ndio wanapiga kura iweje serikali ,,chama ,,management ya chuo iwachaagulie viongozi..kuna umuhimu gani wa kutumia hela za uchaguzi kama raisi mnae tayari....bi up COET...na for info wale ndio wanaume wakigoma hata kule juu mangwini wanafyata..na hakuna mgomo walionzisha mangwini mpaka COET waanze.....,,,wanacholilia ni wenzao kurudi waliofukuzwa baada ya kuona paluapalua isiyo na adabu...nahisi sasa MKANDALA ATAAMKA NA SUBIRI KAMA HAWAJAFUNGA CHUO NA KISHA KUWARUDISHA WOTE HIVYO KUTOA USHINDI WA JUMLA......
BIG UP ENGINEERS!!!!!!!!!!!HAKUNA KULALA HUYU TAKATAKA MKANADALA NI NGWINI MWENYE AKILI LAKINI ANATKA KUWAPELEKA WANACHUO KISISASA....MSIKUBALI KUPELEKWA KI CCM......
=TUKO NYUMA YENU
 
Back
Top Bottom