UDSM : CHUO CHA 13 KWA UBORA AFRICA. TANZANIA NI NCHI YA NNE AFRICA Kwa Chuo Bora.

What do those analysts consider so as to come about the results that a certain university takes a certain number?
 
Ahaa bongolicious yetu na vyuo vyetu ni kwa ajiri ya kujikimu na maisha yetu na sio kumake innovation na kuajiriwa na makampuni makubwa ya kigeni
 
Mi nilijua labda ni Teofilo Kisanji University nd imekuwa ya nafasi hiyo, maana ni chuo pekee EA kinachowapangia
1.wanafunzi wake mavazi ya kuvaa, tshsirt, jeans..No

2.chuo pekee kinacho amrisha wanafunzi wake walipie Tshs 40,000 kwa kila Carry over course
2.Chuo pekee ambacho kinatoa Masters degree kwa Comment za mtu mmoja ambaye hataki akosolewe na wachini yake
3.Chuo pekee ambacho mwanafunzi wake akifa, vipindi vinaendelea kama kawaida na wala hakuna msaada kutoka kwa uongozi
4.Chuo pekee ambacho mwanafunzi wake ana appeal matokeo ya sapu anatoka na B+ ( carry over inakuwa B+)
5. ni chuo pekee ambacho course work ya kuingia UE ni 20 bila hiyo ni Carry over ambayo unatakiwa kulipia Tshs 40,000 kwa kila course

Hivyo basi nkajua ndiyo chuo bora Africa na East Africa kwa ujumla!
 
Tupe vigezo siyo umaarufu wa chuo,kila nchi ina vipaumbele na mitaala yake,haiwezekani eti vyuo vya Kenya vina ubora zaidi ya kwetu kielimu au jaribu kutoa mwanafunzi wa Kenya mlete SUA uone kama atamaliza chuo,tupe vigezo kwanza siyo vya kujipendelea
 
jamani mmeonaaa.msituchoshe na digree zenu za kikuda.Bongo UD cha 13 na SUA cha 90.hakuna kingne.
 
Ha ha a ha ah a jina la nchi na bendera ni tofauti je hizo takwimu ni za kweli? Doubt
 
Hizo rank ni web ranking Jaman,, just web,,,, we soma chuo utoke wangapi ni ma Finance Manager na wengine wamejiajiri na wamesoma CBE,,, huu ni utoto wa form six na nyie mlioko vyouni njoo kitaa,, uone IFM yupo kazin we UD una mbwela na wengine UD yupo kazin na wewe UD mwingine ana mbwela tu kitaa,,,
 
Back
Top Bottom