UDSM application 2017/2018 hakuna diploma?

Password

JF-Expert Member
Feb 17, 2011
777
1,082
Hivi UDSM hakuna course za diploma,mbona kwenye ile online application system yao hakuna mahala pa diploma kutuma application za engineering,kuna nini hasa wajuzi nisaidieni.
 
Hivi UDSM hakuna course za diploma,mbona kwenye ile online application system yao hakuna mahala pa diploma kutuma application za engineering,kuna nini hasa wajuzi nisaidieni.
Kama unalisemea UDSM kuwa na kozi za Diploma, hiyo haipo. Ni kuanzia Degree mpaka PhD.

Kama unalisemea entry ya diploma kusoma Degree, UDSM ni nadra sana kuchukua watu wa Diploma. Mara nyingi wao huchukua Wale 'pure from School'. Namaanisha, wale waliotoka kidato cha sita. Ni mara chache sana hutokea UDSM wakachukua waliopitia Diploma.
 
Hivi UDSM hakuna course za diploma,mbona kwenye ile online application system yao hakuna mahala pa diploma kutuma application za engineering,kuna nini hasa wajuzi nisaidieni.
Kwa uelewa wangu kuna certificate na deploma ya IT and computer science kwenye kile kitengo cha computing center na pia kuna certificate of law kwenye faculty ya law kwa hizo nyengine sijackia bado
 
Kama unalisemea UDSM kuwa na kozi za Diploma, hiyo haipo. Ni kuanzia Degree mpaka PhD.

Kama unalisemea entry ya diploma kusoma Degree, UDSM ni nadra sana kuchukua watu wa Diploma. Mara nyingi wao huchukua Wale 'pure from School'. Namaanisha, wale waliotoka kidato cha sita. Ni mara chache sana hutokea UDSM wakachukua waliopitia Diploma.
Unadhani ni kwa nn?
 
Kwa uelewa wangu kuna certificate na deploma ya IT and computer science kwenye kile kitengo cha computing center na pia kuna certificate of law kwenye faculty ya law kwa hizo nyengine sijackia bado
Umechanganya madesa
UCC sio part ya UDSM
Diploma inayotolewa na UDSM ya Computer science ipo chini ya COICT
 
Umechanganya madesa
UCC sio part ya UDSM
Diploma inayotolewa na UDSM ya Computer science ipo chini ya COICT
Si dhani kama uko sawa mkuu kwenye hili. UCC ni kitengo cha UDSM hivyo ni part ya UDSM lakini ki taaluma haiko chini ya Senate. Wenyewe wanasema "The University of Dar es Salaam Computing Centre (UCC) is leading Information and Communications Technology (ICT) Company owned by the University of Dar es Salaam (UDSM)".
 
Si dhani kama uko sawa mkuu kwenye hili. UCC ni kitengo cha UDSM hivyo ni part ya UDSM lakini ki taaluma haiko chini ya Senate. Wenyewe wanasema "The University of Dar es Salaam Computing Centre (UCC) is leading Information and Communications Technology (ICT) Company owned by the University of Dar es Salaam (UDSM)".
UCC ni mradi wa UDSM lakini sio kitengo kwa maana sio college,sio insitute wala sio centre iliyopo kwenye organization ya UDSM
Ndio mana huwezi kuikuta kwenye prospectus
 
UCC ni mradi wa UDSM lakini sio kitengo kwa maana sio college,sio insitute wala sio centre iliyopo kwenye organization ya UDSM Ndio mana huwezi kuikuta kwenye prospectus
Kiutawala kampuni ya UDSM ni kitengo cha UDSM na watakuwa wanawajibika kwa Baraza la Chuo kupitia board yao (labda kuwe kuna ile michezo yetu, nakumbuka kuna chuo cha nchi jirani walianzisha kitu kama hiki, lakini wakubwa ndo wakajipa shea huku wakitumia jina na mali za chuo kuendeshea kampuni hiyo). Hawa wana prospectus yao.
 
Kama unalisemea UDSM kuwa na kozi za Diploma, hiyo haipo. Ni kuanzia Degree mpaka PhD.

Kama unalisemea entry ya diploma kusoma Degree, UDSM ni nadra sana kuchukua watu wa Diploma. Mara nyingi wao huchukua Wale 'pure from School'. Namaanisha, wale waliotoka kidato cha sita. Ni mara chache sana hutokea UDSM wakachukua waliopitia Diploma.
Nina madogo wawili wamemaliza diploma ya GEOLOGY wanachukua degree sasa pale UDSM
 
Nina madogo wawili wamemaliza diploma ya GEOLOGY wanachukua degree sasa pale UDSM

Mimi pia ni "mdogo wako mwingine" niliyemaliza diploma fulani na niko UDSM naendelea vyema na masomo ya degree. Na nikuhakikishie wewe, mdau aliyesema kwamba UDSM hawatoi fursa kwa wenye diploma kujiunga na masomo hapa na umma kwa ujumla kuwa jambo hilo si la kweli. Kwa maneno mengine ni kwamba "wadogo zako" tuko wengi tu hapa.
 
Fungua website ya NACTE kujua orodha ya vyuo vilivyo ruhusiwa kufanya udahili kwa mwaka wa masomo 2018/2019 certificate na diploma.Tangazo limewekwa kuanzia tar.8/03/2018.Pia na kujua utaratibu wa kufata ili ufanye maombi ya vyuo...!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom