johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,895
- 141,829
- Thread starter
- #41
Ni chama chenye udugu!Inamanisha wao UDP si chama cha upinzani tena bali chama mshirika wa ccm!?
Ni chama chenye udugu!Inamanisha wao UDP si chama cha upinzani tena bali chama mshirika wa ccm!?
Ukweli mchungu hapa ni kuwa, Serikali haina muda na wakulima hivyo kunahitajika watu walio nje ya serikali ili kuwapigania wakulima hawa.Cheyo kausema ukweli mchungu!
Tanzania hakuna vyama vya upinzani!Ukweli mchungu hapa ni kuwa, Serikali haina muda na wakulima hivyo kunahitajika watu walio nje ya serikali ili kuwapigania wakulima hawa.
Hivi huyu mzee ana watoto kweli?Mwenyekiti wa UDP mzee Cheyo amesema hakuna chama chochote chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani na kwamba Chadema wanajidanganya bure.
Cheyo amesema UDP inamuunga mkono Rais Magufuli katika uchaguzi mkuu kwa 100% na ameiomba CCM iwaachie walau wabunge wawili watakaowapigania wakulima wa pamba bungeni.
Maendeleo hayana vyama!
Swali zur ni CCM ndio inagawa majimbokwani ssm ndio inagawa wabunge na madiwani au ni wananchi ndio wanaochagua viongoz wao wanaowataka
Hao ni permanent ruzuku collector’sSasa yeye nae hopeless kabisa, ajiunge ccm basi hana haja ya kuwa na chama ilhali hajiamini kama anaweza kuchukua dola
Tushamuelewa mbona...Chadema mnapaswa kumuelewa mzee Momose Cheyo!
Mwenyekiti wa UDP mzee Cheyo amesema hakuna chama chochote chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani na kwamba Chadema wanajidanganya bure.
Cheyo amesema UDP inamuunga mkono Rais Magufuli katika uchaguzi mkuu kwa 100% na ameiomba CCM iwaachie walau wabunge wawili watakaowapigania wakulima wa pamba bungeni.
Maendeleo hayana vyama!
Ccm umeelewa nini? Mfano kwasisi wakulima wa pambaChadema mnapaswa kumuelewa mzee Momose Cheyo!
Mimi nimeelewa kwamba vyama vya siasa vina undugu na CCM na siyo upinzani!Ccm umeelewa nini? Mfano kwasisi wakulima wa pamba
Mbona ccm inawaogopa wapinzaniCheyo kausema ukweli mchungu!
UDP ni kakikundi ka watu fulani ilishapotea kwenye ramani kitamboJuzi wakati wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma Mwenyekiti wa Chama cha Upinzani cha UDP Bw.Cheyo wakati akitoa salamu kwenye mkutano huo alisikika akiiomba CCM impe Wabunge 3 na Diwani 1 kitendo ambacho mpaka muda sijakielewa.Ukweli napata shida kuamini kama Tanzania iko makini na Siasa za Vyama vingi na kuwa na Vyama vya aina ya UDP.