Uchaguzi 2020 UDP yawahurumia CHADEMA kwa kujiita wapinzani, yawaomba CCM wawaachie walau majimbo mawili

Mwenyekiti wa UDP mzee Cheyo amesema hakuna chama chochote chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani na kwamba Chadema wanajidanganya bure.

Cheyo amesema UDP inamuunga mkono Rais Magufuli katika uchaguzi mkuu kwa 100% na ameiomba CCM iwaachie walau wabunge wawili watakaowapigania wakulima wa pamba bungeni.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi huyu mzee ana watoto kweli?
 
Mwenyekiti wa UDP mzee Cheyo amesema hakuna chama chochote chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani na kwamba Chadema wanajidanganya bure.

Cheyo amesema UDP inamuunga mkono Rais Magufuli katika uchaguzi mkuu kwa 100% na ameiomba CCM iwaachie walau wabunge wawili watakaowapigania wakulima wa pamba bungeni.

Maendeleo hayana vyama!

Cheyo angeamua kumuunga mkono poti kwa kujiunga CCM kabisa yeye na UDP yake akawapiganie huko wakulima wote.
 
So it's not the voters who decide who to be leaders but rather the ruling party @ccm_tanzania does so! And y'all out there expecting #FreeAndFairElections?

Let's come together to fight for #TumeHuruYaUchaguzi if we really want our votes to be meaningful.
#ChangeTanzania https:
IMG_20200713_103149.jpg
 
Juzi wakati wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma Mwenyekiti wa Chama cha Upinzani cha UDP Bw.Cheyo wakati akitoa salamu kwenye mkutano huo alisikika akiiomba CCM impe Wabunge 3 na Diwani 1 kitendo ambacho mpaka muda sijakielewa.Ukweli napata shida kuamini kama Tanzania iko makini na Siasa za Vyama vingi na kuwa na Vyama vya aina ya UDP.
 
Juzi wakati wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma Mwenyekiti wa Chama cha Upinzani cha UDP Bw.Cheyo wakati akitoa salamu kwenye mkutano huo alisikika akiiomba CCM impe Wabunge 3 na Diwani 1 kitendo ambacho mpaka muda sijakielewa.Ukweli napata shida kuamini kama Tanzania iko makini na Siasa za Vyama vingi na kuwa na Vyama vya aina ya UDP.
UDP ni kakikundi ka watu fulani ilishapotea kwenye ramani kitambo
 
Back
Top Bottom