Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
Jamani kama kuna wafanyakazi wa UDOM hapa JF hebu tupeni majina ya watumishi 6 walifutwa kazi huko kwa kuwa na vyeti vya kichina (Bandia). Inatia aibu hii nchi. Wadu mnasemaje juu ya hili? Nini kifanyike na hivi vyeti bandia sio Udom tu hata kwenye ofisi nyingi hapa tanzania