Mtu Bingwa Kabisa
Member
- Apr 4, 2012
- 6
- 3
leo nilikutana na rafiki yangu anaefanya kazi utawala wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM), akanidokeza kuwa kuna wanafunzi 24 walifukuzwa kwa sababu walikutwa wapo kwenye gari wamevaa sare za Chadema wanakwenda kwenye mkutano wa CHADEMA. wakaenda mahakamani, ikaamuru warudi. kwa kuwa Chuo kilikiuka taratibu.
Sasa nasikia wamefungua kesi, na kila mmoja anataka alipwe Tsh milioni kumi 10,000,000/=. Taarifa za ndani zinadai Uongozi wa chuo ulimtuma Afisa Sheria wa chuo akawaombe wafute kesi. Kwa kuwa Chuo kitaaibika.
MAONI YANGU. vijana wasithubutu kwenda kufuta kesi, waendelee nayo. na vyombo vya habari tunataka vitujulishe juu ya hili sakata ili iwe mwanzo na mwisho wa uonevu. Na tumeongea na viongozi wa walimu, walimu waliofukuzwa wala wasiwe na wasiwasi wakirudi pia wadai fidia kila mmoja hata ya milioni 100. ili iwe fundisho kwa uongozi huu mbovu. Na serikali ijifunze. Dawa ya moto ni moto. wao walishawaharibia maisha.
Hili liwe fundisho. hakuna aliye juu ya sheria. Kama raisi anafumbia macho, vyombo vingine vitafanya kazi.:shock:
Sasa nasikia wamefungua kesi, na kila mmoja anataka alipwe Tsh milioni kumi 10,000,000/=. Taarifa za ndani zinadai Uongozi wa chuo ulimtuma Afisa Sheria wa chuo akawaombe wafute kesi. Kwa kuwa Chuo kitaaibika.
MAONI YANGU. vijana wasithubutu kwenda kufuta kesi, waendelee nayo. na vyombo vya habari tunataka vitujulishe juu ya hili sakata ili iwe mwanzo na mwisho wa uonevu. Na tumeongea na viongozi wa walimu, walimu waliofukuzwa wala wasiwe na wasiwasi wakirudi pia wadai fidia kila mmoja hata ya milioni 100. ili iwe fundisho kwa uongozi huu mbovu. Na serikali ijifunze. Dawa ya moto ni moto. wao walishawaharibia maisha.
Hili liwe fundisho. hakuna aliye juu ya sheria. Kama raisi anafumbia macho, vyombo vingine vitafanya kazi.:shock: