kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,641
- 13,024
TabiaNzi kufia kwenye kidonda sio ufaler ila kupenda...
TabiaNzi kufia kwenye kidonda sio ufaler ila kupenda...
Stay lowkey as you can, kuwa na akili na fanya kazi zote ulizopewa na faulu mitihani na test zako zote vizuri. hakuna sehemu utakutana na mwalimu na hata akikubabaisha unaweza kusimama kwenye haki kujitetea. shida huwa inaanza pale mwanafunzi ameharibu halafu anaenda kuomba favour.Sasa kama hao wanafunzi wanamtegatega mkufunzi kigwadugwadu atawaacha? Nani asiyejua chuoni kuna ushenzi mkubwa unafanyika? Labda wacha Mungu ndio wanaweza wasifanye ushenzi huo.
Ila asilimia kubwa ya wenye sura nzuri na maumbo ya kuvutia kingono ni wahanga wa vitendo hivyo
Ni kweli hata ukiwaita kwenye interview wengi wao huwa wanategemea ushawishi wa sura na maumbo yao badala ya kuonyesha uwezo wa kazi.ndiyo maana waajiri wengi wanalalamikiwa wanaomba Rushwa za ngono kumbe wanajitongozesha ili wapate ajira.Ni hatari tupu.tuendelee kuiombea nchi ili mifumo ya nchi ifanye kazi yenyewe.yaani wakiingia kwenye ajira ni vimeo mpaka unashindwa kuelewa amepataje degree....
saa nyingine na nyie huwa mnajitakia wenyewe. Na tako lako kubwa unaombwa mpaka ndogo, afu unaendelea kujilegeza na kujichekesha tuu. Matokeo yake unaliwa tundu zote kimasihara.Hyo sio excuse ya kumlala mtu, na hii rushwa inakuwepo vile wahadhiri Wana power ya kukufelisha au kukufaulisha na watu hufanya assignment zote ila vile mfumo dume wanaume hulindana na ku disco wanafunzi.
Nilishihudia hii case ila chuo kikamlinda huyo lecturer in short nyie wahadhiri msitumie power zenu za kufaulisha kunyanyasa wanawake kingono
Lakini pia ujue wadada wengi wanajipitisha kwa malecture ili wapate kitonga, Sasa lecturer anakuwa anajua wote wanamtaka so ikitokea mmoja akawa n amsimamo anampa sup au kufanya chochote. So hizi kesi zinatakiwa kuchungizwa vizuriHyo sio excuse ya kumlala mtu, na hii rushwa inakuwepo vile wahadhiri Wana power ya kukufelisha au kukufaulisha na watu hufanya assignment zote ila vile mfumo dume wanaume hulindana na ku disco wanafunzi.
Nilishihudia hii case ila chuo kikamlinda huyo lecturer in short nyie wahadhiri msitumie power zenu za kufaulisha kunyanyasa wanawake kingono
Kutokuuona mkono wa Mange kwenye habari hii, wewe una macho au una vidonda?🤣Na mbona Mange mwenyewe haja post chochote?
ndo hivo mkitongozwa msijilegeze, ukilegea utapigwa pande zote ka samaki.Hatari sana
Ndio maana mimi nimesema ukiona mwanafunzi wa chuo kaliwa na lecturer ujue kapenda mwenyewe. Katika ulimwengu huu wa sasa unalazimishwaje kutoa mbususu wakati kuna njia lukuki za kumkamatisha mhusika? Unless kama hao mabinti wanaokubali nao akili zao haziko sawa.Kuna mmoja uyo wa MUCO alitaka kuleta story za kijinga kwa dem wa rafiki yangu. Alichokipata sidhani kama atarudia tena huo mchezo
Sasa sijui alitaka aende wapi na ndo watu wanafika eneo la tukioMkufunzi akiwa red handed katika maandalizi ya kula mchebwede!
Jamaa yuko na kipensi mkewe atakuwa kashainyaka dah aibu sana yani unless otherwise awe hajaoaSasa sijui alitaka aende wapi na ndo watu wanafika eneo la tukio
Kwanza hivyo ndo viinua mgongo vyenyewe, kazi ya kufundisha ni ngumu sana.Assignment hufanyi, test 1 na 2 jumla una 6, quiz hufanyi, lab report mbovu, CA ya 16, UE unapata 10,, matokeo yanaoka una supp, unanipigia simu nikusaidie na unajijua ni pisi kali,, pesa ya kunipa yenyewe huna,,, unategemea nn?? Nkuache?? Wewe kama nan?
baadaye kwenye ndoa utawasikia ohh ana kibamia mara hanifikishi kileleni kumbe ulishafurugwa vyuoni kwa kila mtarimboHama wanachuo wakipata kazi maofisini ndio wanaoendeleza umalaya wao maofisini mwisho wanakuwa ma single mother, nani ataoa mwanamke muhuni? Kumbe uhuni wao wanauanzia chuoni wakiolewa hawatulii kwenye ndoa zao wanaachika kwa tabia hii isiyokubalika