UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

Wewe kwelii duh sasa si watu wengi wana carry kama sio Ku disco iyo 16 inataka kuniua hongereniii mno
 
Sasa kama hao wanafunzi wanamtegatega mkufunzi kigwadugwadu atawaacha? Nani asiyejua chuoni kuna ushenzi mkubwa unafanyika? Labda wacha Mungu ndio wanaweza wasifanye ushenzi huo.

Ila asilimia kubwa ya wenye sura nzuri na maumbo ya kuvutia kingono ni wahanga wa vitendo hivyo
Stay lowkey as you can, kuwa na akili na fanya kazi zote ulizopewa na faulu mitihani na test zako zote vizuri. hakuna sehemu utakutana na mwalimu na hata akikubabaisha unaweza kusimama kwenye haki kujitetea. shida huwa inaanza pale mwanafunzi ameharibu halafu anaenda kuomba favour.

Kuna mazingira ya mwalimu kufanikisha anayoyataka, wanafunzi waepuke hayo mazingira, unless wamependana wakaamua kuwa wapenzi.
 
yaani wakiingia kwenye ajira ni vimeo mpaka unashindwa kuelewa amepataje degree....
Ni kweli hata ukiwaita kwenye interview wengi wao huwa wanategemea ushawishi wa sura na maumbo yao badala ya kuonyesha uwezo wa kazi.ndiyo maana waajiri wengi wanalalamikiwa wanaomba Rushwa za ngono kumbe wanajitongozesha ili wapate ajira.Ni hatari tupu.tuendelee kuiombea nchi ili mifumo ya nchi ifanye kazi yenyewe.
 
Hyo sio excuse ya kumlala mtu, na hii rushwa inakuwepo vile wahadhiri Wana power ya kukufelisha au kukufaulisha na watu hufanya assignment zote ila vile mfumo dume wanaume hulindana na ku disco wanafunzi.

Nilishihudia hii case ila chuo kikamlinda huyo lecturer in short nyie wahadhiri msitumie power zenu za kufaulisha kunyanyasa wanawake kingono
saa nyingine na nyie huwa mnajitakia wenyewe. Na tako lako kubwa unaombwa mpaka ndogo, afu unaendelea kujilegeza na kujichekesha tuu. Matokeo yake unaliwa tundu zote kimasihara.

Ukishaona hivyo, ripoti office za takukuru zimejaa kila kona, watakupa maelekezo ya namna ya kufanya. Kama watawafuma nyumbani kwa muhusika au gest, wao watakueleza namna ya kufanya ili wamtie mikononi mwao kirahisi kabisa na sheria ichukue mkondo wake.
 
Niamini Mimi, mabinti wengi wa chuo wanatamani kuwa na mahusiano na ma lecturer wao ili wapate kitonga kwenye masomo yao
 
Hyo sio excuse ya kumlala mtu, na hii rushwa inakuwepo vile wahadhiri Wana power ya kukufelisha au kukufaulisha na watu hufanya assignment zote ila vile mfumo dume wanaume hulindana na ku disco wanafunzi.

Nilishihudia hii case ila chuo kikamlinda huyo lecturer in short nyie wahadhiri msitumie power zenu za kufaulisha kunyanyasa wanawake kingono
Lakini pia ujue wadada wengi wanajipitisha kwa malecture ili wapate kitonga, Sasa lecturer anakuwa anajua wote wanamtaka so ikitokea mmoja akawa n amsimamo anampa sup au kufanya chochote. So hizi kesi zinatakiwa kuchungizwa vizuri
 
Kuna mmoja uyo wa MUCO alitaka kuleta story za kijinga kwa dem wa rafiki yangu. Alichokipata sidhani kama atarudia tena huo mchezo
Ndio maana mimi nimesema ukiona mwanafunzi wa chuo kaliwa na lecturer ujue kapenda mwenyewe. Katika ulimwengu huu wa sasa unalazimishwaje kutoa mbususu wakati kuna njia lukuki za kumkamatisha mhusika? Unless kama hao mabinti wanaokubali nao akili zao haziko sawa.
 
Assignment hufanyi, test 1 na 2 jumla una 6, quiz hufanyi, lab report mbovu, CA ya 16, UE unapata 10,, matokeo yanaoka una supp, unanipigia simu nikusaidie na unajijua ni pisi kali,, pesa ya kunipa yenyewe huna,,, unategemea nn?? Nkuache?? Wewe kama nan?
Kwanza hivyo ndo viinua mgongo vyenyewe, kazi ya kufundisha ni ngumu sana.
 
Hama wanachuo wakipata kazi maofisini ndio wanaoendeleza umalaya wao maofisini mwisho wanakuwa ma single mother, nani ataoa mwanamke muhuni? Kumbe uhuni wao wanauanzia chuoni wakiolewa hawatulii kwenye ndoa zao wanaachika kwa tabia hii isiyokubalika
baadaye kwenye ndoa utawasikia ohh ana kibamia mara hanifikishi kileleni kumbe ulishafurugwa vyuoni kwa kila mtarimbo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom