ommky
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 459
- 224
Wadogo zetu tokea tumewafanyia application za diploma tena kwa gharama kubwa ya 50000, tokea mwezi wa nane hadi sasa hawatoi majibu, huo ni uzembe mkubwa sana maana wanapaswa kutoa majibu mapema ili kama hawa wadogo zetu wakiwa wamekosa tuwafanyie alternatives.