mkereketwamkereketwa
Member
- May 7, 2012
- 21
- 4
Chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine wanajidai eti ni wa zamani kwahiyo wanajua sana...ma dean ni wahuni wazinzi sana....unyanyasaji kwa wanafunzi umekithiri lol...KIKULA tusaidie jamani tunaangamia wanao.