Udom udom udom - chuo cha sanaa, lugha na sayanzi za jamii

May 7, 2012
21
4
Chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine wanajidai eti ni wa zamani kwahiyo wanajua sana...ma dean ni wahuni wazinzi sana....unyanyasaji kwa wanafunzi umekithiri lol...KIKULA tusaidie jamani tunaangamia wanao.
 
Chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine wanajidai eti ni wa zamani kwahiyo wanajua sana...ma dean ni wahuni wazinzi sana....unyanyasaji kwa wanafunzi umekithiri lol...KIKULA tusaidie jamani tunaangamia wanao.
mh...we mtoa mada?? je unasoma hapo udom??? na tuaminije??? lakin kwa nini kila siku udom...mara ile biashara...mara kiko kisiasa.....mara elimu duni....sasa na wewe umekuja na lako??? mh, polen wajamen!!!
 
Mbona sijaona hoja yako zaidi ya kutuhumu ilibd uchanganue wamefanya nini mpaka uwatuhumu kiasi hicho?au uliomba kazi hujakidhi vigezo unaanza majungu?
 
weka ushahidi kwa maandishi au picha kwamba dean ako mzinzi, au hayo maneno yaweke kwenye record,
hivi kila kitu ni Udom tu,,, ila kale kamchezo naona kanaweza kuwa ka kweli, kama kutakua na ushahidi wa madean nao kujipatia riziki,, mh ila inatakiwa wawe na digree za hayo mambo
 
Chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine wanajidai eti ni wa zamani kwahiyo wanajua sana...ma dean ni wahuni wazinzi sana....unyanyasaji kwa wanafunzi umekithiri lol...KIKULA tusaidie jamani tunaangamia wanao.
kweli wewe ni msomi!!! hujui kujieleza, unabwabwaja maneno tuu, andika kitu na mtu asome aelewe huyu mtu kamaanisha nini, au unadhani kila mtu yupo udom?
ulichokiandika angeandika 4m nisinge shangaa loh umenidisapoint saana
 
Chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine wanajidai eti ni wa zamani kwahiyo wanajua sana...ma dean ni wahuni wazinzi sana....unyanyasaji kwa wanafunzi umekithiri lol...KIKULA tusaidie jamani tunaangamia wanao.
kweli wewe ni msomi!!! hujui kujieleza, unabwabwaja maneno tuu, andika kitu na mtu asome aelewe huyu mtu kamaanisha nini, au unadhani kila mtu yupo udom?
ulichokiandika angeandika 4m nisinge shangaa loh umenidisapoint saana
 
Chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine wanajidai eti ni wa zamani kwahiyo wanajua sana...ma dean ni wahuni wazinzi sana....unyanyasaji kwa wanafunzi umekithiri lol...KIKULA tusaidie jamani tunaangamia wanao.
Poleni ila msitegemee msaada wowote manake kuna mtandao wa kulindana! Vumilia hayo ni ya kupita tu! hata staff wananyanyasika mno
 
chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine wanajidai eti ni wa zamani kwahiyo wanajua sana...ma dean ni wahuni wazinzi sana....unyanyasaji kwa wanafunzi umekithiri lol...kikula tusaidie jamani tunaangamia wanao.
acha kudhalilisha madean wetu wewe kaka unauhakika wa hicho ukisemacho tafadhali tupe evidence cio kuongea
 
Kuna dean of students hapo udom ndugu yangu,hako kajamaa ni kafupifupi hivi,kazinzi kanakula vichwa hakuna mfano, Dhaifu angebadilisha japo uongozi hapo udom,la sivyo haya mambo hayataisha miaka nenda rudi
 
Chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine wanajidai eti ni wa zamani kwahiyo wanajua sana...ma dean ni wahuni wazinzi sana....unyanyasaji kwa wanafunzi umekithiri lol...KIKULA tusaidie jamani tunaangamia wanao.

Nadhani ungefikisha haya maoni yako kwa njia na lugha sahihi ingekuwa ni bora sana. Sikatai, inawezekana kuna tatizo hapo chuoni kwenu ila namna ulivyowakilisha hoja imeonyesha ni kama unataka kuwa-embarrass au kuwadhalilisha baadhi ya watu. Na nadhani ni wakati wa watanzania tuwe wazi na majasiri, kwa mfano umesema kuwa Ma-deans ni wazinzi na wahuni, Je, ni ma-deans wote au kwasababu ya tabia ya mmoja inaweza ikasemwa kuwa ni tabia ya ma-deans wote?
 
Kuna dean of students hapo udom ndugu yangu,hako kajamaa ni kafupifupi hivi,kazinzi kanakula vichwa hakuna mfano, Dhaifu angebadilisha japo uongozi hapo udom,la sivyo haya mambo hayataisha miaka nenda rudi

Hapo kwenye RED You mean Dkt. Nyoni ambaye alikuwa Udsm? Nakumbuka taarifa kama hizi zilizagaa wakati akiwa mlimani.Yawezekana kukawa na harufu ya ukweli. Evidences ni muhimu kwenye hili.
 
Ndugu, yote uliyosema ni sahihi 100%, ila lugha na mtiririko wa habari siyo fasaha

Na hayo uliyoyasema si kwenu tu bali UDOM nzima, yaani yapo College zote

Pole sana
 
mengineyo yanavumilika lakini hili la uzinzi!!! u...... jamani tuwaombee

Yunachokisema ni tabia ya wahadhiri kunyanyasa wanachuo...Dean akikutaka ukimkataa ikatokea umekosa mtihani kwasababu za maana anakataa kukupa special exams wakati ni haki yako. Walimu hawalipwi on time ndo maana wanakosa kufundisha kwa moyo ...udom ni mwendo wa extreme tuu.Kuna mdada anaitwa Aziza ananyanyasa wanafunzi kwa kuwaambia wanatembea uchi...anasahau yeye udsm alivaa vimini na hata alipoajiriwa alikuwa anavaa jeans...sasa anatunyanyasa hata kama mtu kavaa nguo njema ilihal si hijab unakamatwa na kuporwa simu lo....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom