Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,346
- 4,614
Chuo Kikuu cha Dodoma kinawakaribisha waombaji wa nafasi za kazi za Mhasibu Msaidizi (assistant Accountant) na Karani wa Mahesabu (accounts Assistant) kuhudhuria usaili wa kuandika utakaofanyika siku ya Jumamosi, tarehe 10 Februari, 2018 kuanzia saa mbili asubuhi. Usaili huu utafanyika katika ukumbi wa mihadhara wa Chuo cha Biashara na Sheria (CBSL_CT 3). Wasailiwa walioorodheshwa hapa chini wanahimizwa kuwahi ili kukamilisha taratibu za usajili kabla ya usaili.
Pakua nyaraka ya hapo chini kuona orodha ya waliofanikiwa kuitwa kwa ajili ya usaili
Pakua nyaraka ya hapo chini kuona orodha ya waliofanikiwa kuitwa kwa ajili ya usaili