UDOM na PhD kwa wanasiasa. Nini chanzo cha mchezo huu katika elimu ya nchi hii?

Walioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande

Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?

Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.

Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.
duh!!! Sioni umuhimu wa elimu hapa TZ, nawahurumia vijana walioteseka kusoma kindagaten mpaka chuo kikuu bila kazi, huku wakiteseka mitaani bila kulipwa fidia ya muda waliopoteza darasani na gharama walizotumia kusomea.

Heri Mungu ashuke aichukue dunia. Tuachane na upuuzi wa dunia hii.
 
SUA huwa wako strictly na huwa hawajipendekezi kwa wanasiasa ma orof wamejikita kwenye kuandika miradi na tafiti so hawana njaa ya kujipendekeza kwa wanasiasa Ili wateuliwa, Mimi mwanasiasa aki graduate SUA, nitaamini hyo PhD yake
Mwanasiasa gani akasome SUA? Yaani aisha Dodoma akasome SUA?
 
Wengi wanaokoment hapa ni vilaza na wasiojua nini maana ya PhD. Kama unaona PhD wanaichukua tu si nenda na wewe ukaichukue.
 
Mi binafsi kama mwanazuoni wa chuoni nasema kama vyuo hivyo vimeamua kuwazawadia PhD wanasiasa kama njugu zinavyogawiwa acha wagawiwe tu.

Sometimes kipofu akiamua kumuongoza kipofu mwenzake acha wote wadumbukie shimoni. Mi sinaga huruma na mtu au taasisi ya kipumbavu. Kwani chuo kikuu cha Dar es Salaam kilikuwa nafasi ya ngapi kwa ubora Afrika miaka ya 90 na leo hii kipo nafasi ya ngapi? Leo hii VC wa UD na genge lake wanahangaika kuiokoa UD isiendelee kuporomoka lakini wapi....ukifanya upumbavu mmoja wa msingi utakugharimu milele.

UD walianza hivi hivi, kudharau mambo ya misingi: mfano degree zilizopaswa kuwa miaka minne kuzifast track kuwa miaka mitatu ili kukidhi matakwa ya wanasiasa, kutoboresha miundombinu ya kufanyia tafiti, n.k. Madhara yake wamekuja kuyaona miaka 20 baadaye, I swear elimu inayotolewa UD leo hii yaani ni bora mtoto akaende straight veta after form six.

Ni suala muda tu hivi vyuo vyetu kupuuzwa kabisa kabisa na jamii.
 
Walioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande

Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?

Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.

Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.
Hiyo ndio CCM ya Magufuli na Samia
 
Sio PHD tu hadi master wanapewa kuna jamaa alisomaga hapo alishangaa siku ya graduation eti wapo na simbachawene naye amegraduate wakati hakuwahi kumuona hata siku moja class.
Akawauliza jamaa wa evening program wakasema hawajawahi kumuona.
Wakati huo simbachawene naibu waziri wa nishati muda mwingi alikuwa dsm
Hahaaa, eti alikuwa evening classes
 
Walioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande

Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?

Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.

Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.
Biteko na Jaffo kutwa wako kwenye kazi za uwaziri, na kwa kipindi cha Mwendazake wizara zao(madini na TAMISEMI) pamoja na ya Nishati zilikuwa ndiyo mawaziri wako "on the move 24/7". Wanapata wapi muda wa kufanya utafiti chini ya Magufuli?

Labda kwa vile Magufuli naye PhD yake ilikuwa ya hivyo hivyo pengine alibariki UHUNI huu wa PHD mchongo. Wananunua tu, hamna namna wanaweza kufanikisha kwa miaka 4.

Ni bora usome Master's degrees hata 2 kwa sasa kuliko PhD kwa watu wasio vyuoni au kwenye tafiti. Hizi PhD zimepoteza hadhi na ndiyo maana hata yule mjinga wa darasa la Saba kutoka Geita ameagiza ya kwake kwa USD 500 na kapewa.

Nashauri ikiwezekana TCU ifanye academic audit ya haya matakataka ya UDOM na ikikuta kuna mianya iwachukulie hatua stahiki
 
SUA huwa wako strictly na huwa hawajipendekezi kwa wanasiasa ma orof wamejikita kwenye kuandika miradi na tafiti so hawana njaa ya kujipendekeza kwa wanasiasa Ili wateuliwa, Mimi mwanasiasa aki graduate SUA, nitaamini hyo PhD yake
Hata muhas..hakuna huu upuuzi..ila vyuo vya vilaza udsm na udom njaa tupu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nadhani hoja kuu hapa ni mustakabali wa ubora wa elimu yetu kuanzia chini hadi juu...
Haya mengine ni matokeo tu!
 
Hivi jamani hawa wastaafu huwa hawachoki? Sinde Warioba, Cleopa Msuya JK na wengine, kwa nini msikatae hizo nafasi? Kwani hakuna maprofesa waliostaafu toka vyuoni kama kina Mwandosya, na wengine wakapewa hizo nafasi jamani?? Wanasiasa hawa sijui kama wanasaidia hivi vyuo sana
Ndiyo maana mleta mada kasema kila kitu ni siasa,na bahati mbaya vijana wengi hawataki kufuatilia siasa.
 
SUA huwa wako strictly na huwa hawajipendekezi kwa wanasiasa ma orof wamejikita kwenye kuandika miradi na tafiti so hawana njaa ya kujipendekeza kwa wanasiasa Ili wateuliwa, Mimi mwanasiasa aki graduate SUA, nitaamini hyo PhD yake
I agree wako very strict.
 
Kuna jamaa anaitwa Msemakweli alishtukia hizo PhD za mchongo akatoa na kitabu wahusika hawakuchukuliwa hatua zozote.Sasa watanzania wameona kuwa ili upate uteuzi au madaraka makubwa ya kisiasa na kiserikali basi lazima jina lako lianze na Dr of Professor .Hata kwenye vikao vyetu vya mtaani ni ujiko sana mtu kuitwa Doctor .Tuseme ukweli nani hataki kuitwa Doctor.Big up wenye PhD za kweli na za mchongo.Kwahiyo Mzee Mwandosya atulie pale wazee waliopoanzia vijana wanamalizia nao wanataka kula keki ya Taifa.
 
Back
Top Bottom