Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Prof Idriss Kikula ameiambia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii kuwa sasa hawatakuwa na Msamaha kwa wale wote wanaotumiwa na vyama vya siasa kusababisha migomo ndani ya UDOM,amesema kuna wanafunzi wengine wapo kwa maslahi ya vyama vya siasa hatawavumilia bila kuangalia wanatoka chama gani!
Amewaomba Wabunge waelewe kuwa Udom ni sehemu ya elimu sio uwanja wa wanasiasa kuja kupotosha vijana na kusababisha migomo isiyokuwa ya lazima!
My take: Naunga mkono wanafunzi wadai haki kwa mambo yanayowahusu na sio kupotoshwa na wanasiasa!
Amewaomba Wabunge waelewe kuwa Udom ni sehemu ya elimu sio uwanja wa wanasiasa kuja kupotosha vijana na kusababisha migomo isiyokuwa ya lazima!
My take: Naunga mkono wanafunzi wadai haki kwa mambo yanayowahusu na sio kupotoshwa na wanasiasa!