Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Mkuu wa chuo Prof Kikula kasema baada ya wajumbe 30 wa seneti kukaa wata watunuku shahada ya heshima ya uzamivu a.k.a udaktari mh JK na marehemu Kawawa katika mahafali ya kwanza ya UDOM tar 26 nov 2010.
Mpo??????????
Mpo??????????