bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
Jengo kuu la utawala udom wafanyakazi wake wamekumbwa na hali ya sintofahamu toka juzi baada ya chumvi ya kuwekwa kwenye mboga kumwagwa milangoni na kwenye macorridor huku kukiwekwa alama ya msalaba,kitendo hicho kimeaacha minong'ono ya chini kwa chini yakuwa inawezekana ni ushirikina au watu wanajiimarisha kimadaraka,chumvi ya kuweka kwenye mboga imefuta nini kwenye milango na makorridor ya ofisi? Inazua maswali mengi sana
1.je udom kama tasisi ya umma inaongozwa na proffessionalism au ushirikina?
2.nini hatma ya udom kwa siku zijazo?
3.chumvi ya mboga inauhusiano gani na utendaji kazi wa kila siku?
Tujadili
1.je udom kama tasisi ya umma inaongozwa na proffessionalism au ushirikina?
2.nini hatma ya udom kwa siku zijazo?
3.chumvi ya mboga inauhusiano gani na utendaji kazi wa kila siku?
Tujadili