ngetwa majani
Member
- Feb 11, 2012
- 12
- 1
sikatai kwamba Udom hakuna changamoto kama ilivyo kwa institution yoyote tz, ila natilia sana shaka utashi na uwezo wa comparative analysis wa wachangiaji wengi wakiwepo wadau wa udom wanaokiponda chuo chao. kwa upande wa afya mtoto mdogo yupo katika hatari kubwa ya kushambuliwa na magonjwa kuliko mtu mzima, kwenye biashara kuna PRODUCT LIFE CYCLE so changamoto hutofautiana wakat bidhaa ikiwa kwenye introduction stage(sokoni) na wakati ikiwa kwenye maturity stage. Harvard University 2011 wametimiza miaka 375 na is among the best universities in the world and oldest university in US, UDSM oldest university tz imetimiza miaka 50(2011) ikiwa imeanzia kwenye jengo la chama cha TANU. Kama ukitrace back changamoto zilizopata vyuo hiv miaka 10 baada ya kuanzishwa utashangaa.Tuepuke kuwa na AVERAGE minds. CHANGAMOTO HUWA NI MTAJI WA MAFANIKIO.