LENGEJU BOB
Member
- Nov 1, 2010
- 53
- 29
Na. Robert Victor Lengeju
Morogoro.
Ni masuala mtambuka kwa ubaya wake na ambayo yasipokemewa kwa uzito unaofaa, yanaweza kutumika kama mtaji wa watu hasa kila unapokaribia uchaguzi, huku ukiipasua Nchi yetu vipande vipande. Ni makala yenye kutoa elimu, lakini iliobeba karipio la dhahiri, kwa wote wenye kuendekeza sana Hulka hizi za ubinafsi uliopitiliza, zinazoelekea kuharibu kabisa staha ya Taifa letu. Hapa tunatazama Udini, Ukabila, Ukanda kama Propaganda Chafu kwa upande mmoja, na Hulka za ubinafsi kwa upande wa pili; na ambazo kwa pamoja, ni uhalifu dhidi ya Demokrasia...............
USIKOSE KUSOMA MAKALA HII MUHIMU, KWENYE JUKWAA LA MWALE WA DEMOKRASIA NDANI YA RAIA TANZANIA, ALHAMISI IJAYO...NI SIKU 4 TU KUANZIA LEO!
Morogoro.
Ni masuala mtambuka kwa ubaya wake na ambayo yasipokemewa kwa uzito unaofaa, yanaweza kutumika kama mtaji wa watu hasa kila unapokaribia uchaguzi, huku ukiipasua Nchi yetu vipande vipande. Ni makala yenye kutoa elimu, lakini iliobeba karipio la dhahiri, kwa wote wenye kuendekeza sana Hulka hizi za ubinafsi uliopitiliza, zinazoelekea kuharibu kabisa staha ya Taifa letu. Hapa tunatazama Udini, Ukabila, Ukanda kama Propaganda Chafu kwa upande mmoja, na Hulka za ubinafsi kwa upande wa pili; na ambazo kwa pamoja, ni uhalifu dhidi ya Demokrasia...............
USIKOSE KUSOMA MAKALA HII MUHIMU, KWENYE JUKWAA LA MWALE WA DEMOKRASIA NDANI YA RAIA TANZANIA, ALHAMISI IJAYO...NI SIKU 4 TU KUANZIA LEO!