Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,584
Mkutano wa nini ?Mahala pa ujumbe huo palikuwa ni kwenye mkutano.
Mbona haya masuala ni rahisi sana kuyaelewa?
Mkutano wa nini ?Mahala pa ujumbe huo palikuwa ni kwenye mkutano.
Mbona haya masuala ni rahisi sana kuyaelewa?
Kwa polisi ujumbe umekaa kisiasa tofauti na malengo ya jogging ambayo ni pamoja na kujenga afya.Ujumbe unatatizo gani ?
CCM wakiwa na jogging zao huku zimeandikwa KAZI INDELEE huku Ina picha za Samia hua wanatoa ujumbe wa mazoezi hapo sio?Ninyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Kwani siasa zinazuiwa katika nchi hii ?Kwa polisi ujumbe umekaa kisiasa tofauti na malengo ya jogging ambayo ni pamoja na kujenga afya.
Ndipo matumizi yetu ya akili yanapotatiza.Mkutano wa nini ?
Je walivunja sheria ya nchi ?Ndipo matumizi yetu ya akili yanapotatiza.
Lengo la mkusanyiko huo lilikuwa ni kufanya mazoezi ya kukimbia na kuunganisha wanawake wa bavicha.
Hivyo maudhui ya ujumbe wa Tume Huru hayafanani na maudhui ya mazoezi.
Polisi nao wana akili na wanapima mnachopanga.
IGP Sirro alisema huko nyuma wanafahamu mnapolala na mnachopanga.
Mimi sijazoea kutukana watu nisiowafahamu ni mwiko kwangu.CCM wakiwa na jogging zao huku zimeandikwa KAZI INDELEE huku Ina picha za Samia hua wanatoa ujumbe wa mazoezi hapo sio?Huchokagi kulamba kalio bro.
Hilo ungewauliza polisi.Je walivunja sheria ya nchi ?
Nakuuliza weweHilo ungewauliza polisi.
Kwani jogging ina nguo maalum ?
Kwahiyo ccm kwenye jogging na shughuli za umma huwa wanafanya ubaguzi ?Kuvaa sare unabagua wengine wasioamini ktk sare zao
Weye endelea kupulizia hamna shida.Safi sana Ila kulamba kalio umezoea kwa Sana tu.
Nawapuliza kweli kweli.Weye endelea kupulizia hamna shida.
Puliza tu dogo hamna shida.Nawapuliza kweli kweli.
Kwani vipi zinakufanya uone maluweluwe?Kwani lazima wavae sare za chama?
Sawa kabisa kubwa jinga.Puliza tu dogo hamna shida.
Tume huru inakukwaza nini ndugu tagaNinyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.