Naomba udhamini wa elimu ya juu

yousaw

Senior Member
Apr 21, 2014
160
129
Wakuu,

Kama kuna anayefahamu kuhusu taasisi, jumuiya au hata shirika linalojihusisha na udhamini wa wanafunzi wa elimu ya juu anisaidie nina shida ya udhamini.

AHSANTE
 
kwan mashirika yanayosaidia watu kusoma elimu ya juu huwa wanawekeana bond au asset kama mkuu ulivyouliza hp?
 
Haya mambo ndo yanayoniudhi... Lowassa aliwaambia anataka awasomeshe bure huko elimu ya juu wazazi wenu na baadhi yenu mkakataa eti mnataka kuishia form 4. sasa tunaanza kuombana misaada tena humu... aaaagh!!! piga kazi mzee!!!
 
mkuu nielekeze vizuri kuhusu chet na kanisa katoliki au naomba no nikuchek.
 
Wakuu Mimi ni kijana wenu wa kitanzania mwenye elimu ya kidato cha sita katika mchepuo wa sayansi PCB, Nilimaliza kidato cha sita mnamo mwaka 2013 sekondari ya wavulana ya Same mkoani Kilimanjaro na kupata div 3, Nilishindwa kuendelea na chuo kutokana na matatizo ya kifamilia.

OMBI: Naomba msaada kwa mtu binafsi, taasisi au hata jumuiya wa kunisomesha chuo hata diploma tu katika kozi yeyote ya afya kwa masharti yeyote halali, kwa aliyeguswa naomba tuwasiliane kwa no: 0654 121 218.
AHSANTEN.
 
Wakuu Mimi ni kijana wenu wa kitanzania mwenye elimu ya kidato cha sita katika mchepuo wa sayansi PCB, Nilimaliza kidato cha sita mnamo mwaka 2013 sekondari ya wavulana ya Same mkoani Kilimanjaro na kupata div 3, Nilishindwa kuendelea na chuo kutokana na matatizo ya kifamilia.

OMBI: Naomba msaada kwa mtu binafsi, taasisi au hata jumuiya wa kunisomesha chuo hata diploma tu katika kozi yeyote ya afya kwa masharti yeyote halali, kwa aliyeguswa naomba tuwasiliane kwa no: 0654 121 218.
AHSANTEN.
 
Tafuta chuo kwanza uwe admitted /selected ndo uombe msaada Wa vitu vinahitajika,,,
"Huwezi kuomba MTU akununulie kiatu wakati hata kiatu Namba ngap unavaa?
 
Wakuu Mimi ni kijana wenu wa kitanzania mwenye elimu ya kidato cha sita katika mchepuo wa sayansi ya kitabibu PCB, Nilimaliza kidato cha sita mnamo mwaka 2013 sekondari ya wavulana ya Same mkoani Kilimanjaro na kupata div 3, Nilishindwa kuendelea na chuo kutokana na matatizo ya kifamilia.
OMBI: Naomba msaada kwa mtu binafsi, taasisi au hata jumuiya wa kunisomesha chuo hata diploma tu katika kozi yeyote ya afya kwa masharti yeyote halali, kwa aliyeguswa naomba tuwasiliane kwa no: 0654 121 218.
AHSANTEN.
Mchepuo wa science ya kitabibu


Usipotoshe umma PCB ina course nyingi apart from utabibu kuna engineering, agriculture education, natural applied sciences kama biotechnology, zoology ndomaana mnakosa vyuo kwa kung'ang'ania utabibu
 
Ahsante kaka, ila ukijifanya much know sana ndo unjikuta unacomment usichoambiwa, Mada kuu ni ombi nililolileta kwa wenye uwezo, mara nyingi watu kama wewe huwa hamna msaada, so pita kushoto brother.
 
Ahsante kaka, ila ukijifanya much know sana ndo unjikuta unacomment usichoambiwa, Mada kuu ni ombi nililolileta kwa wenye uwezo, mara nyingi watu kama wewe huwa hamna msaada, so pita kushoto brother.
Only if you knew who you were talking to kwanza check profile yangu alaf ndo urudi tuongee vizuri anyway either ways good luck!
 
Hata kama ungekuwa msomi kama newton ila kama unajibu usichoambiwa kwa kigezo kwamba "unajua mimi nani" wewe ni zero tu, Fanya issue zako nyingine kaka kukosa msaada wako haimaanishi nimefel maisha
 
Watu wanadhaminig tu mpira,elim kudhaminiwa ni changamoto but wenye uhitaji wa hivi ni wengi,usife moyo utafanikiwa tu siku.
 
Back
Top Bottom