Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Paskali,
Huyo Mwarabu unaemwita dhalim ameondoka Zanzibar hana damu ya mtu
inayotiririka kutoka katika vidole vyake.

Huyo Mwarabu dhalim hakupata kuwa na jela ya mauaji na mateso Zanzibar.

Huyo Mwarabu dhalim alitembea Zanzibar yote bila askari wa kumlinda na
bunduki.

Uko wapi udhalim wake?
Mauaji na jela za mateso unamjua aliyezianzisha?
Wafrika hatuwezi kujitawala,wafrika tunafikiri kutumia nguvu ndio kuongoza,Ukishakuona raisi au mtawala analindwa na bunduki ujue hapo hapana kiongozi...kwanini ulinzi uwe mkubwa wakati anaowaongoza wanampenda????

Abeid Amani karume alikuwa anawakimbia walinzi wake kwasababu allikuwa anajiamini wananchi wanampenda,alijiamini kuwawananchi wanamlinda hawezi kudhuriwa na anaowatala...
 
Sipo maskani nipo nyumban najisomea baada ya kutoka kanisani haya MAARAB yanaroho mbaya sana
Muombe Mungu baba,Je unasoma bibilia na kuifahamu au unaifahamu biblia kutokana na mawazo ya mchungaji..
Umemsoma Paulo,je unajua vipi Paulo alivyoibadilisha dini ya Kikiristo na kufanya wakristo wasifate sheria za Mungu,sheria alizohubiri Yesu...tafakari
 
Muombe Mungu baba,Je unasoma bibilia na kuifahamu au unaifahamu biblia kutokana na mawazo ya mchungaji..
Umemsoma Paulo,je unajua vipi Paulo alivyoibadilisha dini ya Kikiristo na kufanya wakristo wasifate sheria za Mungu,sheria alizohubiri Yesu...tafakari
Kwa nn bara kama America tunaona kuna watu weusi ambao kizaz chao kilitokana na wazazi wao waliopelekwa katika biashara ya watumwa kwa nn huko uarabun hakuna vizazi vilivyotokana na watumwa?Mlikua mnawaasi watu weusi ili wasiizalieni mnawafanya kama maksai
 
Wako wengi tu,kuanzia Iran,India,Uturuki,Pakistan wako wengi tu,lakini kama kawaida ya hii dunia watu weusi hawapewi nafasi za kuonekana..

India na Pakistani watu weusi wanaitwa SIDI,hawa hawafichi kama mababu na mababu zao walitoka East Afrika,Sio watu wote wa kabila SIDI walikwenda hizo nchi kwa Utumwa wengine walikwenda huko kibiasha,kijeshi nk...

Mkuu dunia imekuwa ndogo sana usiwe mvivu wa kutafuta ingia kwenye Google au Youtube tafafuta unachokitaka,nakuwekea video ya watu weusi wa India....jioneee wenyewe

Watu weusi wanabaguliwa kila sehemu kuanzia nyumbani mpaka nchi za nje,sababu kubwa ya watu weuri kubaguliwa ni kuwa sisi wenyewe hatujikubali,tukianza kujikubali dunia itatukubali

 
huu ni uongo na uzushi mtupu,ili kujaribu kujenga hoja dhidi ya waarabu walokuwepo zanzibar,zanzibar ilikuwa ni station ya kusafirishia watumwa kama ilivyokuwa mombasa,lamu na sehemu nyingi zilizo katika ukanda wa bahari,waarabu wa zanzibar walikuwa wawakilishi tu wa wazungu ambao ndio walokuwa na biashara ya utumwa hasa,dunia nzima wazungu na waspanya ndio walokuwa wakiendesha biashara ya utumwa waarabu hawakuwa na biashara ya utumwa.

wakati waarabu walipoingia zanzibar miaka ya 1600 walileta wahindi kuja kufanya kazi za majumbani na mashambani kupanda mikarafuu,minazi na spices na hawakuleta waafirika ambao ndo walokuwa karibu na zanzibar,mashamba yote ya unguja na pemba wafanya kazi wa waarabu walikuwa wahindi na hio ndio asili ya kuja wahindi wengi upande huu wa africa ya mashariki, sasa kama waarabu walikuwa na biashara ya utumwa kwanini walileta wahindi kufanya kazi za kitumwa, watumwa wa afrika hawajawahipo kufanya kazi za kulima mikarafuu unguja na pemba walikuwa wakipitishwa njia tu zanzibar, ilikuwa ni port ya kuwasafirisha tu na wazungu walikuwa na mawakala wa kudili na watumwa wao zanzibar hao kina tippu tippu msome historia yake

hizi za kuwa waarabu walitesa waafrica ni propaganda za kipumbavu kabisa,watesi wakuu wa waafrika mnawaacha hamuwasemi ambao ni wazungu na mpaka sasa bado wanalimiliki bara lote la afrika,wametupa uhuru wa pendera tu bado kila kitu ni mali yao,wao ndio wameligawa bara lote kwa manufaa yao hapakuwa na mwafrika aloshiriki kugawa bara la afrika.

acheni kueneza propaganda kwa kutumia vitabu vya propaganda,someni elimu ya uhalisia

Ati waarabu hawakufanya biashara ya watumwa, ilia walikuwa wawakilishi wa wazungu...
With that reasoning, nikichukua pembe za ndovu kutoka kwa majangili, na kuzipeleka kuuzwa uchina, mimi nakuwa sijafanya biashara ya pembe, ila ni mwakilishi tu wa wachina...
Labda nikuulize, hao waarabu-wawakilishi wa wazungu walikuwa wanajitolea tu kuwakusanya watumwa kwa niaba ya wazungu?
Au walikuwa wanapata kitu kidogo?

Fahamu kuwa zipo jamii nyingi tu za watu weusi, waarabu, wazungu n.k ambazo at one time zilikuwa involved kwenye biashara ya utumwa kwa namna moja au nyingine.
Usifikiri waarabu ndio watakatifu sana...
 
Muombe Mungu baba,Je unasoma bibilia na kuifahamu au unaifahamu biblia kutokana na mawazo ya mchungaji..
Umemsoma Paulo,je unajua vipi Paulo alivyoibadilisha dini ya Kikiristo na kufanya wakristo wasifate sheria za Mungu,sheria alizohubiri Yesu...tafakari
Wacha uwongo! Hakuna kilichobadilishwa na Paulo katika biblia.
Mbona huweki hicho alichobadilisha Paulo?
Maandiko ya Quran yanajipinga pasipo logic yoyote, lakini hamuongelei!
 
Wacha uwongo! Hakuna kilichobadilishwa na Paulo katika biblia.
Mbona huweki hicho alichobadilisha Paulo?
Maandiko ya Quran yanajipinga pasipo logic yoyote, lakini hamuongelei!

Inawezekana kuwa maandiko ya Quran yanajipinga pasipo na sababu,nakubaliana na wewe kwa hilo,Sababu kubwa ya Qurani kujipinga katika aya zake ni kwasabu maandiko(Aya) zimeteremshwa wakati tafauti..

Mandiko ya biblia yanajipinga vile vile kwasababu biblia imeandikwa miaka 600 baada ya kifo cha Yesu,Yesu hakuandika biblia,

Jesus alikuwa anahubiri kwa lugha ya Aramaic,tafsiri ya mwanzo kutoka katika ya Aramaic ilikuwa lugha ya Kigiriki,Kutoka kigiriki ikaenda kwenye kilatin,kutoka kilatin ,bibilia inayokubalika zaidi ni ya King Georg ambayo ni tafsiri ya moja kwa moja kutoka kigiriki kwenda kingereza...

Tafsiri kutoka katika lugha ya jesus kwenda lugha ya Kigiriki imepoteza maana nyingi ya mahubiri ya Yesu

kumbuka hivi lugha mbili zenye mfumo tafauti,kutoka Kigiriki kwenda Kingereza mambo ndio yakaenda vibaya kabisa..

Mwislamu,hawezi kuwa mwislam kama hamkubali Issa( Yesu,Jesus,Joshua),hivyo ndio dini ya kiisalm inavyosema,ni mtume wao na kila likitajwa jina la Issa(yesu,Jesus,Joshua) lazima wamuombee dua ya uzima kheri zote kutoka kwa Mungu..


Hivi ndio Jesus alivyowambia wanafunzi wake jinsi ya kusali

“‘Father,
hallowed be your name,
your kingdom
Give us each day our daily bread.
Forgive us our sins,
for we also forgive everyone who sins against us.’”


Haya maneno hayana tafauti na walivyoambiwa waisilam waseme kila wakianza kusali tafauti yake wao wanasema kiarabu ,tafuta tafsiri ya sura al-fatiha

-------

Kama unafahamu kingereza na kuwekea video,huyu jamaa anelezea nani Paul,huyu jamaa ni mmarekani alikulia kwenye dini ya kikristo,ningekushauri tafafuta elimu kila pande usikubali kuambiwa,fanya utafiti,utaokoka utaingia katika njia iliyonyooka
 
huu ni uongo na uzushi mtupu,ili kujaribu kujenga hoja dhidi ya waarabu walokuwepo zanzibar,zanzibar ilikuwa ni station ya kusafirishia watumwa kama ilivyokuwa mombasa,lamu na sehemu nyingi zilizo katika ukanda wa bahari,waarabu wa zanzibar walikuwa wawakilishi tu wa wazungu ambao ndio walokuwa na biashara ya utumwa hasa,dunia nzima wazungu na waspanya ndio walokuwa wakiendesha biashara ya utumwa waarabu hawakuwa na biashara ya utumwa.

wakati waarabu walipoingia zanzibar miaka ya 1600 walileta wahindi kuja kufanya kazi za majumbani na mashambani kupanda mikarafuu,minazi na spices na hawakuleta waafirika ambao ndo walokuwa karibu na zanzibar,mashamba yote ya unguja na pemba wafanya kazi wa waarabu walikuwa wahindi na hio ndio asili ya kuja wahindi wengi upande huu wa africa ya mashariki, sasa kama waarabu walikuwa na biashara ya utumwa kwanini walileta wahindi kufanya kazi za kitumwa, watumwa wa afrika hawajawahipo kufanya kazi za kulima mikarafuu unguja na pemba walikuwa wakipitishwa njia tu zanzibar, ilikuwa ni port ya kuwasafirisha tu na wazungu walikuwa na mawakala wa kudili na watumwa wao zanzibar hao kina tippu tippu msome historia yake

hizi za kuwa waarabu walitesa waafrica ni propaganda za kipumbavu kabisa,watesi wakuu wa waafrika mnawaacha hamuwasemi ambao ni wazungu na mpaka sasa bado wanalimiliki bara lote la afrika,wametupa uhuru wa pendera tu bado kila kitu ni mali yao,wao ndio wameligawa bara lote kwa manufaa yao hapakuwa na mwafrika aloshiriki kugawa bara la afrika.

acheni kueneza propaganda kwa kutumia vitabu vya propaganda,someni elimu ya uhalisia
 
Ati waarabu hawakufanya biashara ya watumwa, ilia walikuwa wawakilishi wa wazungu...
With that reasoning, nikichukua pembe za ndovu kutoka kwa majangili, na kuzipeleka kuuzwa uchina, mimi nakuwa sijafanya biashara ya pembe, ila ni mwakilishi tu wa wachina...
Labda nikuulize, hao waarabu-wawakilishi wa wazungu walikuwa wanajitolea tu kuwakusanya watumwa kwa niaba ya wazungu?
Au walikuwa wanapata kitu kidogo?

Fahamu kuwa zipo jamii nyingi tu za watu weusi, waarabu, wazungu n.k ambazo at one time zilikuwa involved kwenye biashara ya utumwa kwa namna moja au nyingine.
Usifikiri waarabu ndio watakatifu sana...

na mwa mfano huo huo uloutoa wewe ukichukua pembe ndovu kutoka kwa majangili ukazipeleka china na kupata faida ya kuendesha maisha yako unadhani hio ndio itachukuliwa kama ni tanzania ndio inayoendesha biashara ya pembe za ndovu? katika historia itawekwa kuwa tanzania ilikuwa ikiuzia wachina biashara haramu ya pembe? jawabu ni hapana kulikuwa na watu walikuwa wanaifanya hio bishara lakini sio serikali ya tannzania.

wazungu walikuwa na mawakala kila kona ya africa,west south na east afrika na wote hao walikuwa ni mawakala weusi,nchi hizo nyingi zilikuwa hazina mfumo wa serikali kama zanzibar ndio mana hazikutajwa kama ni wauza watumwa,

narudia tena wafanya kazi wa waarabu wa zanzibar walikuwa wahindi na sio waafrika,waliolima mashamba ya zanziba na mwambao wote wa east afrika ambayo ilikuwa ni sehemu ya zanzibar ni wahindi na ndio sababu wahindi wamejaa zanzibar tanzania na kenya na uganda. kwa sababu ya waarabu wa zanzibar ndio walowaleta hapa kama cheap labour. kama waarabu walikuwa na biashara ya utumwa kwanini walichukua wafanya kazi kutoka india? na kwanini hawakuwatumia watumwa wa afrika kulima mashamba yao,kama vile walivyofanya wamarekani ambao ndio walokuwa na hio bishara ya utumwa kuwalimisha waafrika watumwa wao mashambani

serikali ya zanzibar wakati huo ya waarabu iliachia hio biashara ifanyike zanzibar kwa sabbau ilikuwa ni biashara halali kwa wakati ule,hata serikali ya tanzania ingeachia pembe zandovu ziuzwe kama ingekuwa ni halali.

waarabu hawaja wahipo kutesa watu zanzibar ni upotoshaji tu,wazanzibar wa wakati ule walikuwa wakiona mateso kufata sheria za serikali tu ambayo walikuwa wageni wa mambo ya mifumo ya kiserikali. na hili halikuwa kwa wanzanibari waafrika tu hata wazanzibari waarabu walikuwa wakipata shida zasa kufata mifumo ya serikali.
 
na mwa mfano huo huo uloutoa wewe ukichukua pembe ndovu kutoka kwa majangili ukazipeleka china na kupata faida ya kuendesha maisha yako unadhani hio ndio itachukuliwa kama ni tanzania ndio inayoendesha biashara ya pembe za ndovu? katika historia itawekwa kuwa tanzania ilikuwa ikiuzia wachina biashara haramu ya pembe? jawabu ni hapana kulikuwa na watu walikuwa wanaifanya hio bishara lakini sio serikali ya tannzania.

wazungu walikuwa na mawakala kila kona ya africa,west south na east afrika na wote hao walikuwa ni mawakala weusi,nchi hizo nyingi zilikuwa hazina mfumo wa serikali kama zanzibar ndio mana hazikutajwa kama ni wauza watumwa,

narudia tena wafanya kazi wa waarabu wa zanzibar walikuwa wahindi na sio waafrika,waliolima mashamba ya zanziba na mwambao wote wa east afrika ambayo ilikuwa ni sehemu ya zanzibar ni wahindi na ndio sababu wahindi wamejaa zanzibar tanzania na kenya na uganda. kwa sababu ya waarabu wa zanzibar ndio walowaleta hapa kama cheap labour. kama waarabu walikuwa na biashara ya utumwa kwanini walichukua wafanya kazi kutoka india? na kwanini hawakuwatumia watumwa wa afrika kulima mashamba yao,kama vile walivyofanya wamarekani ambao ndio walokuwa na hio bishara ya utumwa kuwalimisha waafrika watumwa wao mashambani

serikali ya zanzibar wakati huo ya waarabu iliachia hio biashara ifanyike zanzibar kwa sabbau ilikuwa ni biashara halali kwa wakati ule,hata serikali ya tanzania ingeachia pembe zandovu ziuzwe kama ingekuwa ni halali.

waarabu hawaja wahipo kutesa watu zanzibar ni upotoshaji tu,wazanzibar wa wakati ule walikuwa wakiona mateso kufata sheria za serikali tu ambayo walikuwa wageni wa mambo ya mifumo ya kiserikali. na hili halikuwa kwa wanzanibari waafrika tu hata wazanzibari waarabu walikuwa wakipata shida zasa kufata mifumo ya serikali.

Sikubaliani na wewe,
Ila hamna haja ya kuendelea kubishana.
Wewe amini kwamba waarabu hawakufanya biashara ya utumwa. Na mimi naendelea kuamini kuwa walifanya.
 
na mwa mfano huo huo uloutoa wewe ukichukua pembe ndovu kutoka kwa majangili ukazipeleka china na kupata faida ya kuendesha maisha yako unadhani hio ndio itachukuliwa kama ni tanzania ndio inayoendesha biashara ya pembe za ndovu? katika historia itawekwa kuwa tanzania ilikuwa ikiuzia wachina biashara haramu ya pembe? jawabu ni hapana kulikuwa na watu walikuwa wanaifanya hio bishara lakini sio serikali ya tannzania.

wazungu walikuwa na mawakala kila kona ya africa,west south na east afrika na wote hao walikuwa ni mawakala weusi,nchi hizo nyingi zilikuwa hazina mfumo wa serikali kama zanzibar ndio mana hazikutajwa kama ni wauza watumwa,

narudia tena wafanya kazi wa waarabu wa zanzibar walikuwa wahindi na sio waafrika,waliolima mashamba ya zanziba na mwambao wote wa east afrika ambayo ilikuwa ni sehemu ya zanzibar ni wahindi na ndio sababu wahindi wamejaa zanzibar tanzania na kenya na uganda. kwa sababu ya waarabu wa zanzibar ndio walowaleta hapa kama cheap labour. kama waarabu walikuwa na biashara ya utumwa kwanini walichukua wafanya kazi kutoka india? na kwanini hawakuwatumia watumwa wa afrika kulima mashamba yao,kama vile walivyofanya wamarekani ambao ndio walokuwa na hio bishara ya utumwa kuwalimisha waafrika watumwa wao mashambani

serikali ya zanzibar wakati huo ya waarabu iliachia hio biashara ifanyike zanzibar kwa sabbau ilikuwa ni biashara halali kwa wakati ule,hata serikali ya tanzania ingeachia pembe zandovu ziuzwe kama ingekuwa ni halali.

waarabu hawaja wahipo kutesa watu zanzibar ni upotoshaji tu,wazanzibar wa wakati ule walikuwa wakiona mateso kufata sheria za serikali tu ambayo walikuwa wageni wa mambo ya mifumo ya kiserikali. na hili halikuwa kwa wanzanibari waafrika tu hata wazanzibari waarabu walikuwa wakipata shida zasa kufata mifumo ya serikali.
Wewe mwarabu nini? Au half cast koko mashombo ya waarabu na watumwa?

Unatetea waarabu wakati ukweli na evidence za kiistoria zipo. Ukenda bagamoyo na zanzibar ni wazi waarabu walifanya ufedhuri, raping slaves, castration of slaves na mauwaji kebekebe.
Wacha kutuandikia upuuzi kama sisi watoto wadogo hatuna akili ya ku research! Kaa na umanga koko wako na believe what you want to believe. Kwanini husiende kwenye amani Yemen au Saudia ukaishi kwa babu zako wala nguruwe kwa dharura!? Think about it!
 
Wewe mwarabu nini? Au half cast koko mashombo ya waarabu na watumwa?
Unatetea waarabu wakati ukweli na evidence za kiistoria zipo. Ukenda bagamoyo na zanzibar ni wazi waarabu walifanya ufedhuri, raping slaves, castration of slaves na mauwaji kebekebe.
Wacha kutuandikia upuuzi kama sisi watoto wadogo hatuna akili ya ku research! Kaa na umanga koko wako na believe what you want to believe. Kwanini husiende kwenye amani Yemen au Saudia ukaishi kwa babu zako wala nguruwe kwa dharura!? Think about it!

mimi ntakuwa ni half cast koko nnae-research na kutafuta ukweli wa mambo na kukataa kuburuzwa na propaganda ili niamini kitu kwa mitazamo ya watu na maslahi yao.

wazanzibari walivamiwa na kuuliwa wakati wa mapinduzi(mavamizi)hii ndio ilokuwa sababu ya mauwaji hayo,wa-iraqi walivamiwa na kuuliwa wakati wa sadam,uongo wa silaha za kuangamiza ndio ilotumiwa kuwa sababu,gaddafi alivamiwa na kuuliwa ulitumiwa udictator ndio sababu ya uvamizi wake,wakati nchi zote za kiara zina madictator lakini lakini target alikuwa peke yake,hii ndio dunia tunayoishi ni uzushi unaowapa nguvu zaidi wenye nguvu.

kwa kuanzia ungeanza kumtafuta mswahili wa kiafrica aitwae tippu tip alikuwa mzanzibari mweusi alieishi miaka ya 1800,huyu ndie alokuwa slave driver mkuu,na hakuna mwarabu hata mmoja alietajwa kufanya biashara ya utumwa zanzibar, biashara ya utumwa ilikuwepo kila pahala miaka hio na zanzibar pia ilikuwepo,lakini wahusika wakuu walikuwa ni waafrika sisi wenywe

itazame hio picha ya kati tippu tip akiwa na watumwa pamoja na mmarekani mnunuzi wake,biashara ya utumwa ilifanywa na wamarekani,waspanya na waengereza ndio walokuwa wakinunua na kuuza watumwa, huku zanzibar walikuwa na mawakala wa kukusanya watumwa na watu kama tippu tip ndio walokuwa mawakala wao,huyu tippu tip alikuwa mzanzibari mwafrika mweusi kwanini hushangai kwa vile yeye hakuwa mtumwa,yeye alikuwa ndio slave driver,watumwa wa warabu walikuwa wahindi na mpaka leo ni hivi hivo watumwa wao bado ni wahindi

Tippu Tip, or Tib (1832 – June 14, 1905), real name Hamad bin Muhammad bin Juma bin Rajab el Murjebi, was a Swahili-Zanzibari slave trader. An ivory trader, explorer, plantation owner and governor, he worked for a succession of the sultans of Zanzibar. Tippu Tip traded in slaves for Zanzibar's clove plantations. As part of the large and lucrative ivory trade, he led many trading expeditions into Central Africa by constructing profitable trading posts that reached deep into the region. He bought the ivory from local suppliers and resold it for a profit at coastal ports

C-WFWBSXcAAW6JT.jpg

stanley-1841-1904-british-explorer-stanleys-expedition-leaving-matadi-DT8RFY.jpg

tupu.jpg
 
Mkuu nadhani kaama wewe ni mwafrica utakubaliana na mimi kuhusu tabia ya hawa watu weupe asimia kubwa wana ubaguz na dharau sana ndio maana hawa changanyi damu
Mkuu ulitongoza hao watu weupe wakakukataa?
Maana umekazania wahindi na waarabu wana dharau mara hawachanganyi damu.
Sasa nenda India wako wengiiiii mpaka utawachoka au nenda Syria ,Libya,Iraq,Lebanon na Palestina wamejaaa
Wana tafuta wafadhili.
Hapa Bongo tunadharauliana na kubaguana sanaaaaa tu
Kielimu,kikabila,kidini na kipesa.Tena tuanzia humu JF
Tuseme baadhi ya watu lakini sio wote.
 
Bado tatizo lipo kwa Waarabu.....wale wageni wanaojenga viwanja kule Qatar wanalalamika.....Kina dada wanaotoka huku (Tanzania na Kenya) kwenda kufanya kazi nchi za kiarabu wengi wao hawatendewi kibinaadamu...

Kuna bwana aliwahi kutoa habari yake kupitia kipindi cha Njia panda(clouds) anaitwa Samadu (kama sikosei) alielezea madhila aliyokumbana nayo akiwa "utumwani" ikiwepo kuambiwa na wenyeji wake kuwa wao (weusi) wapo duniani kwa ajili ya kuwa Watumwa.
Hizo ni habari mbaya kutoka uarabuni.Hatujasikia Habari njema kwa wasomi wa Kitanzania na Kikenya wanao fanya kazi huko.Ubaguzi vile vile uko Ulaya,Usa na Canada Habari hizo mbaya ziko kwa wafanyakazi wa ndani na maofisini.Waarabu wana sakamwa kwa sababu ya Uislam na vyombo vya Habari kutangaza propaganda kuhusu waarabu.
 
Back
Top Bottom