Udhalilishaji wa Watoto kwa njia ya maneno

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
Udhalilishaji kwa njia ya maneno unatokea pale ambapo Mzazi/Mlezi au Mtu aliye karibu na Mtoto anapotumia maneno yenye kumuumiza Mtoto Kihisia kwa nia ya kumuonya au kumdhibiti

Baadhi ya maneno yanayoweza kumdhalilisha Mtoto kwa kumuumiza hisia zake ni; Kumkemea au kumkaripia mbele ya hadhara ya Watu au Familia/Ndugu.

Kumuita Mtoto majina mabaya (Matusi) na majina mengine yasiyokuwa mazuri ikiwemo majina ya Wanyama. Kumwambia Mtoto hakuna Mtu anayempenda, Kumtishia au kumlaumu.
 
Sisi tulipigwa na kila kitu mzazi anachoweza kukibeba;

1) Fimbo

2) Mikanda

3) Fagio

4) Makofi Kolabo Ngumi na Makonzi sambamba na ngwala.

5) Mipago Ya Kusongea Ugali.

6) Kuni.

Hatuja athirika kihisia wala kisaikolojia, na ndio maana tumenyooka na tumepiga hatua kimaisha.

Sasa hawa watoto wa 4G mnavyokwenda nao kama mayai. Hata kumfokea hatutakiwi au ukimchapa akashitaki polisi, itafika siku mtoto wa kiume anakuletea boyfriend wake nyumbani kumtambulisha (Daddy huyu ndio boyfriend wangu) au mzazi anakutia na kido*le kabisa.
 
Sisi tulipigwa na kila kitu mzazi anachoweza kukibeba;

1) Fimbo

2) Mikanda

3) Fagio

4) Makofi Kolabo Ngumi na Makonzi sambamba na ngwala.

5) Mipago Ya Kusongea Ugali.

6) Kuni.

Hatuja athirika kihisia wala kisaikolojia, na ndio maana tumenyooka na tumepiga hatua kimaisha.

Sasa hawa watoto wa 4G mnavyokwenda nao kama mayai. Hata kumfokea hatutakiwi au ukimchapa akashitaki polisi, itafika siku mtoto wa kiume anakuletea boyfriend wake nyumbani kumtambulisha (Daddy huyu ndio boyfriend wangu) au mzazi anakutia na kido*le kabisa.
Hahahahahaha mwana hapo umemaliza kabisa yani umepiga kichwani kabisa
 
Back
Top Bottom