Udhalilishaji wa Jeshi la Polisi kwa Wanawake haukubaliki

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
May 5, 2014
607
1,540
TUNALAANI VITENDO VYA UDHALILISHAJI KIJINSIA VILIVYOFANYWA NA POLISI HANDENI, TANGA.

Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kutuhumiwa kuwafanyia vitendo vya udhalilishaji kijinsia wanawake wilayani humo.

Udhalilishaji huo umebainika kufuatia kikao cha hadhara cha Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Siriel Mchembe na Wananchi wa Wilaya hiyo katika kusikiliza kero na malalamiko mbalimbali.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo kwa kuzingatia kuwa matendo ya udhalilishaji wa kijinsia yaliyotolewa na Wananchi wa Handeni na kura ya Siri kuwataja askari hao ni uthibitisho tosha kuwa askari wa jesho la Polisi wilayani humo wanahusika katika matendo ya udhalilishaji Wanawake kijinsia.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo inamtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini kuwawajibisha haraka iwezekanavyo askari wote waliotajwa kwenye kura ya wananchi kuhusika na matendo ya udhalilishaji kijinsia dhidi ya Wanawake Wilayani Handeni Mkoani Tanga.

Jeshi la Polisi kwa mujibu wa sheria ndio linapaswa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha matendo yote ya udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya Wanawake yanakomeshwa na wote wanaobainika kuhusika na kutenda matendo hayo wanakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria ili ifuate mkondo wake kwa kutoa adhabu dhidi yao.

Ni jambo la aibu na lenye kulichafua jeshi la Polisi kwa baadhi ya Askari wake kutajwa kuwa vinara wa vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya Wanawake.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo inawapongeza Wanawake wa Handeni kwa ujasiri waliouonesha kwa kusimama hadharani na kueleza matendo ya udhalilishaji yanayofanywa dhidi yao tena na wasimamizi wa sheria ambao kimsingi ndio wanaopaswa kuhakikisha wanalindwa dhidi ya matendo hayo.

Vile vile ngome ya wanawake taifa tunaliomba jeshi la polisi kupima akili za askari wake kabla ya kuwaajiri na wafuate taratibu za kipolisi. Polisi wanawake wapo kwa nini polisi wa kiume washughulike na jinsia ya kike? Vitendo hivyo havikubaliki.

Imetolewa na:

Husna Sungura,
Naibu Katibu, Habari, Uenezi na Mawasiliano.
Ngome ya Wanawake,
ACT Wazalendo
03 Septemba, 2021

IMG-20210903-WA0099.jpg
 
Jeshi la polisi tanzania ni jeshi linalo hitaji reformation kubwa sana nadhani kichocheo kikubwa cha ujinga wa polisi ni kule kulindana na kuto kuchukuliana hatua sasa wamefika mahali wanajiona wao wako juu ya kila kitu polis tanzania ni wanyanyasaji sana na wasio taka kujitathimini wao wenyewe kwa utendaji wa kazi.na ninadhani IGP aongeze nguvu kuwadhibiti askari wake kimaadili kama anavyo jitahidi kudhibit wahalifu.
 
Wanasiasa ni mavi ya popo wao kila jambo wanalivalia njuga pasinakuwa na ujuvi.
 
TUNALAANI VITENDO VYA UDHALILISHAJI KIJINSIA VILIVYOFANYWA NA POLISI HANDENI, TANGA.

Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kutuhumiwa kuwafanyia vitendo vya udhalilishaji kijinsia wanawake wilayani humo.

Udhalilishaji huo umebainika kufuatia kikao cha hadhara cha Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Siriel Mchembe na Wananchi wa Wilaya hiyo katika kusikiliza kero na malalamiko mbalimbali.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo kwa kuzingatia kuwa matendo ya udhalilishaji wa kijinsia yaliyotolewa na Wananchi wa Handeni na kura ya Siri kuwataja askari hao ni uthibitisho tosha kuwa askari wa jesho la Polisi wilayani humo wanahusika katika matendo ya udhalilishaji Wanawake kijinsia.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo inamtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini kuwawajibisha haraka iwezekanavyo askari wote waliotajwa kwenye kura ya wananchi kuhusika na matendo ya udhalilishaji kijinsia dhidi ya Wanawake Wilayani Handeni Mkoani Tanga.

Jeshi la Polisi kwa mujibu wa sheria ndio linapaswa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha matendo yote ya udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya Wanawake yanakomeshwa na wote wanaobainika kuhusika na kutenda matendo hayo wanakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria ili ifuate mkondo wake kwa kutoa adhabu dhidi yao.

Ni jambo la aibu na lenye kulichafua jeshi la Polisi kwa baadhi ya Askari wake kutajwa kuwa vinara wa vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya Wanawake.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo inawapongeza Wanawake wa Handeni kwa ujasiri waliouonesha kwa kusimama hadharani na kueleza matendo ya udhalilishaji yanayofanywa dhidi yao tena na wasimamizi wa sheria ambao kimsingi ndio wanaopaswa kuhakikisha wanalindwa dhidi ya matendo hayo.

Vile vile ngome ya wanawake taifa tunaliomba jeshi la polisi kupima akili za askari wake kabla ya kuwaajiri na wafuate taratibu za kipolisi. Polisi wanawake wapo kwa nini polisi wa kiume washughulike na jinsia ya kike? Vitendo hivyo havikubaliki.

Imetolewa na:

Husna Sungura,
Naibu Katibu, Habari, Uenezi na Mawasiliano.
Ngome ya Wanawake,
ACT Wazalendo
03 Septemba, 2021

View attachment 1922043
😀 😀 Chama cha mfukoni. Bendera fuata upepo.
 
TUNALAANI VITENDO VYA UDHALILISHAJI KIJINSIA VILIVYOFANYWA NA POLISI HANDENI, TANGA.

Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kutuhumiwa kuwafanyia vitendo vya udhalilishaji kijinsia wanawake wilayani humo.

Udhalilishaji huo umebainika kufuatia kikao cha hadhara cha Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Siriel Mchembe na Wananchi wa Wilaya hiyo katika kusikiliza kero na malalamiko mbalimbali.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo kwa kuzingatia kuwa matendo ya udhalilishaji wa kijinsia yaliyotolewa na Wananchi wa Handeni na kura ya Siri kuwataja askari hao ni uthibitisho tosha kuwa askari wa jesho la Polisi wilayani humo wanahusika katika matendo ya udhalilishaji Wanawake kijinsia.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo inamtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini kuwawajibisha haraka iwezekanavyo askari wote waliotajwa kwenye kura ya wananchi kuhusika na matendo ya udhalilishaji kijinsia dhidi ya Wanawake Wilayani Handeni Mkoani Tanga.

Jeshi la Polisi kwa mujibu wa sheria ndio linapaswa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha matendo yote ya udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya Wanawake yanakomeshwa na wote wanaobainika kuhusika na kutenda matendo hayo wanakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria ili ifuate mkondo wake kwa kutoa adhabu dhidi yao.

Ni jambo la aibu na lenye kulichafua jeshi la Polisi kwa baadhi ya Askari wake kutajwa kuwa vinara wa vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya Wanawake.

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo inawapongeza Wanawake wa Handeni kwa ujasiri waliouonesha kwa kusimama hadharani na kueleza matendo ya udhalilishaji yanayofanywa dhidi yao tena na wasimamizi wa sheria ambao kimsingi ndio wanaopaswa kuhakikisha wanalindwa dhidi ya matendo hayo.

Vile vile ngome ya wanawake taifa tunaliomba jeshi la polisi kupima akili za askari wake kabla ya kuwaajiri na wafuate taratibu za kipolisi. Polisi wanawake wapo kwa nini polisi wa kiume washughulike na jinsia ya kike? Vitendo hivyo havikubaliki.

Imetolewa na:

Husna Sungura,
Naibu Katibu, Habari, Uenezi na Mawasiliano.
Ngome ya Wanawake,
ACT Wazalendo
03 Septemba, 2021

View attachment 1922043
Commander in chief wa jeshi hilo si mama Samia?...
 
Back
Top Bottom