herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,198
- 1,345
Wanaita watu wengi Sana katika usaili hii nilifanikiwa kuifatilia ni fani ya ICT Officer (System Administrator) wanaitaji nafasi moja lakini wameita watu 752.
Vijana waliohudhuria pale wamezuiliwa kuingia kwenye usaili ni wengi sababu ya kuzuia mfano mwingine alikua anashiriki hizo interview mara kwa mara na vyeti vyake ni hivyo leo amekuja wanamzuia wanadai majina katika cheti yametofautiana sasa hapo awali walikua wanamruhusu vipi na vyeti ni hivyo hivyo, mwingine anazuiwa sababu amekuja na namba ya Nida wao wanahitaji kitambulisho lakini mwafahamu Nida bado hawajatoa vitambulisho kwa wengi hapo wao hawakubali kupokea na kuthibitisha Ile namba ya Nida kwani si iko kwa system lakini wanazuia tu. Mtu amesafiri umbali mrefu kuja Dodoma kumzuia bila sababu ya msingi si kumtendea haki.
Hawa vijana hawatendewi haki sababu hata wanapojaribu kujieleza wanaitiwa askari ili kuwafukuza eneo la tukio.
Huu ni udhalilishaji unafanyika hapo.
Mchakato huu nimefatilia kidogo tu nimegundua hauko sawa.
Vijana hawa kwa hakika wanadhalilishwa tu.
Vijana waliohudhuria pale wamezuiliwa kuingia kwenye usaili ni wengi sababu ya kuzuia mfano mwingine alikua anashiriki hizo interview mara kwa mara na vyeti vyake ni hivyo leo amekuja wanamzuia wanadai majina katika cheti yametofautiana sasa hapo awali walikua wanamruhusu vipi na vyeti ni hivyo hivyo, mwingine anazuiwa sababu amekuja na namba ya Nida wao wanahitaji kitambulisho lakini mwafahamu Nida bado hawajatoa vitambulisho kwa wengi hapo wao hawakubali kupokea na kuthibitisha Ile namba ya Nida kwani si iko kwa system lakini wanazuia tu. Mtu amesafiri umbali mrefu kuja Dodoma kumzuia bila sababu ya msingi si kumtendea haki.
Hawa vijana hawatendewi haki sababu hata wanapojaribu kujieleza wanaitiwa askari ili kuwafukuza eneo la tukio.
Huu ni udhalilishaji unafanyika hapo.
Mchakato huu nimefatilia kidogo tu nimegundua hauko sawa.
Vijana hawa kwa hakika wanadhalilishwa tu.