Udhalilishaji katika Usaili unaofanyika na Sekretarieti ya ajira

herikipaji

JF-Expert Member
Aug 23, 2016
1,198
1,345
Wanaita watu wengi Sana katika usaili hii nilifanikiwa kuifatilia ni fani ya ICT Officer (System Administrator) wanaitaji nafasi moja lakini wameita watu 752.

Vijana waliohudhuria pale wamezuiliwa kuingia kwenye usaili ni wengi sababu ya kuzuia mfano mwingine alikua anashiriki hizo interview mara kwa mara na vyeti vyake ni hivyo leo amekuja wanamzuia wanadai majina katika cheti yametofautiana sasa hapo awali walikua wanamruhusu vipi na vyeti ni hivyo hivyo, mwingine anazuiwa sababu amekuja na namba ya Nida wao wanahitaji kitambulisho lakini mwafahamu Nida bado hawajatoa vitambulisho kwa wengi hapo wao hawakubali kupokea na kuthibitisha Ile namba ya Nida kwani si iko kwa system lakini wanazuia tu. Mtu amesafiri umbali mrefu kuja Dodoma kumzuia bila sababu ya msingi si kumtendea haki.

Hawa vijana hawatendewi haki sababu hata wanapojaribu kujieleza wanaitiwa askari ili kuwafukuza eneo la tukio.
Huu ni udhalilishaji unafanyika hapo.
Mchakato huu nimefatilia kidogo tu nimegundua hauko sawa.

Vijana hawa kwa hakika wanadhalilishwa tu.
 
Wengine mmekuwa wajanja wajanja kwasababu ya kukosekana ID ya NIDA mnatumia watu wengine kuwafanyia interview. Najua sio wote ila wapo makanjanja wa hivyo kama kuna mtu amezuiwa lazima kuna mushkeli sehemu
 
Wengine mmekuwa wajanja wajanja kwasababu ya kukosekana ID ya NIDA mnatumia watu wengine kuwafanyia interview. Najua sio wote ila wapo makanjanja wa hivyo kama kuna mtu amezuiwa lazima kuna mushkeli sehemu
Vyeti wanaleta vimewekwa picha ya muhusika. Cheti cha kidato cha nne kinakua na picha.
 
Vyeti wanaleta vimewekwa picha ya muhusika. Cheti cha kidato cha nne kinakua na picha.
Sijajua mpo wangapi ila mnakuaga nyomi sana huyo ofisa kuanza kulinganisha picha na sura ya muhusika ni mtihani shehe, picha zenyewe zinatokaga nyeusi hata muhusika haonekani vizuri. Anyway umezuiliwa??
 
Ninyi vijana rudini nyumbani mkawaambie wazazi/walezi wenu kuwa serikali ya CCM haina ajira za kuwapa na inawasumbua kwenye interview.
Mjadili na wazazi wenu namna bora ya kufanya.
Acheni kulialia huku JF bila kuwashirikisha wazazi/walezi wenu.
Serikali haiweziajiri kila mtu.
 
Sijajua mpo wangapi ila mnakuaga nyomi sana huyo ofisa kuanza kulinganisha picha na sura ya muhusika ni mtihani shehe, picha zenyewe zinatokaga nyeusi hata muhusika haonekani vizuri. Anyway umezuiliwa??
Kwanini waite watu wengi na hata uwezo wa kuwahakiki kama hivi wanashindwa? Tunakosea tukiita hii udhalilishaji?
 
Unawezaje ku shortlist watu 752 kwa nafasi moja ya ajira? hii nchi imejaa majitu ya hovyo sana....
Unajiona mjuajiiiii....
Kwani LongList siyo mbinu?
Utapataje wahitimu wenye sifa kwenye kanzi data kwa kujaza nafasi zingine pasipo kuitisha Usaili? Tupunguze ujuaji wataaalam waitende kazi.
 
Unajiona mjuajiiiii....
Kwani LongList siyo mbinu?
Utapataje wahitimu wenye sifa kwenye kanzi data kwa kujaza nafasi zingine pasipo kuitisha Usaili? Tupunguze ujuaji wataaalam waitende kazi.
Yaani unatafuta mtu mmoja mwenye qualification unazotaka kwenye watu 752, haupo serious labda kama huna imani na ubora wa elimu inayotolewa kwenye vyuo wanakotoka.......
 
Kwanini waite watu wengi na hata uwezo wa kuwahakiki kama hivi wanashindwa? Tunakosea tukiita hii udhalilishaji?
Ndio maana ua USHINDANI wangetwa wachache mtasema wanaitana kwa kujuana so kila aliyefit Minimum qualifications according to tangazo anaitwa ndio maana kuna mtihani kwanza then Oral
 
Kwanini waite watu wengi na hata uwezo wa kuwahakiki kama hivi wanashindwa? Tunakosea tukiita hii udhalilishaji?
Sheria inawabana kuto mwita mtu aliye omba na ikiwa anakidhi vigezo vya msingi. Written wanaingia wote, oral kila nafasi wanachukua watatu. Waombaji wengi wanao kuwa wameitwa wanasahau kwenda na viambatisho vingi.
 
Wanaitwa jobseekers wengi wengine watoto wa masikini hawana hela za kujikimu na nauli wanaishia kulalana tu huko ili wasidiwe na wenzao wanaambukizana ukimwi tu sijui tunatengeneza taifa la aina gani
 
Sheria inawabana kuto mwita mtu aliye omba na ikiwa anakidhi vigezo vya msingi. Written wanaingia wote, oral kila nafasi wanachukua watatu. Waombaji wengi wanao kuwa wameitwa wanasahau kwenda na viambatisho vingi.
Viambatanisho gani, yani mtu aliyeruhusiwa kuingia interview zaidi ya moja kwa vyeti vile vile Leo anakuja tena na vyeti ambavyo hajabadilosha kitu unamwambia hakidhi vigezo amefoji vyeti. Wewe unaelewa hii maana yake?
 
Wanaita watu wengi Sana katika usaili hii nilifanikiwa kuifatilia ni fani ya ICT Officer (System Administrator) wanaitaji nafasi moja lakini wameita watu 752.

Vijana waliohudhuria pale wamezuiliwa kuingia kwenye usaili ni wengi sababu ya kuzuia mfano mwingine alikua anashiriki hizo interview mara kwa mara na vyeti vyake ni hivyo leo amekuja wanamzuia wanadai majina katika cheti yametofautiana sasa hapo awali walikua wanamruhusu vipi na vyeti ni hivyo hivyo, mwingine anazuiwa sababu amekuja na namba ya Nida wao wanahitaji kitambulisho lakini mwafahamu Nida bado hawajatoa vitambulisho kwa wengi hapo wao hawakubali kupokea na kuthibitisha Ile namba ya Nida kwani si iko kwa system lakini wanazuia tu. Mtu amesafiri umbali mrefu kuja Dodoma kumzuia bila sababu ya msingi si kumtendea haki.

Hawa vijana hawatendewi haki sababu hata wanapojaribu kujieleza wanaitiwa askari ili kuwafukuza eneo la tukio.
Huu ni udhalilishaji unafanyika hapo.
Mchakato huu nimefatilia kidogo tu nimegundua hauko sawa.

Vijana hawa kwa hakika wanadhalilishwa tu.
Wako sahihi
 
Ajira zipo chache sana,ifike mahali ata kugombea uongozi uwe ni ajira
 
Serikali haitaki lawama kama umeomba na ukafit vigezo mnaitwa hata mfike 1500 na nafasi ni moja ili kutoa lawama kwamba watu wanaajiliwa kwa kujuana mkuu,hizo nafasi wanazotoa kweli lazima mzitafute kwa ushindani na ukipata ni halali yako.

Sasa hivi ile ya kujuana haipo maana shelia zinawabana mkuu.
 
Wanaita watu wengi Sana katika usaili hii nilifanikiwa kuifatilia ni fani ya ICT Officer (System Administrator) wanaitaji nafasi moja lakini wameita watu 752.

Vijana waliohudhuria pale wamezuiliwa kuingia kwenye usaili ni wengi sababu ya kuzuia mfano mwingine alikua anashiriki hizo interview mara kwa mara na vyeti vyake ni hivyo leo amekuja wanamzuia wanadai majina katika cheti yametofautiana sasa hapo awali walikua wanamruhusu vipi na vyeti ni hivyo hivyo, mwingine anazuiwa sababu amekuja na namba ya Nida wao wanahitaji kitambulisho lakini mwafahamu Nida bado hawajatoa vitambulisho kwa wengi hapo wao hawakubali kupokea na kuthibitisha Ile namba ya Nida kwani si iko kwa system lakini wanazuia tu. Mtu amesafiri umbali mrefu kuja Dodoma kumzuia bila sababu ya msingi si kumtendea haki.

Hawa vijana hawatendewi haki sababu hata wanapojaribu kujieleza wanaitiwa askari ili kuwafukuza eneo la tukio.
Huu ni udhalilishaji unafanyika hapo.
Mchakato huu nimefatilia kidogo tu nimegundua hauko sawa.

Vijana hawa kwa hakika wanadhalilishwa tu.
Mbona simple huna id barua ya utambulisho serekali za mitaa mbona wanapokea
 
Back
Top Bottom