robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 740
- 1,214
Jana, leo, watu wanajitangaza kupewa PhD. Bunge sasa limekuwa ni kama chuo cha kutafuta PhD. Yaonekana hata semina za ndani ya CCM hawapeani maonyo juu ya tabia mbaya.
Kubwa zaidi ni udhaifu wa TCU. Yaani TCU wapo kwa ajili ya kusimamia udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu tu! Hawasimamii taratibu zinazondoa heshima ya elimu ya juu kama vitenbdo hivi vya wabunge.
Hawa wanaojitangaza kupewa PhD ni wazazi je, watoto wao wanaona kuna sababu yoyote ya kusoma PhD? Maana baba zao hawakusoma hata cheti, lakini wanapewa PhD. Bahati mbaya kizazi cha wanasiasa ndio hicho tena kinaingizwa katika siasa kwa mbinu zote.
Baba ni mwizi, ana Phd ya mchongo na mtoto amekuwa akiona hayo. Ndio maana tunaona watoto wa wansiasa walioko katika siasa, hakuna mtu wa maana zaidi ya kubebwa.
Kubwa zaidi ni udhaifu wa TCU. Yaani TCU wapo kwa ajili ya kusimamia udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu tu! Hawasimamii taratibu zinazondoa heshima ya elimu ya juu kama vitenbdo hivi vya wabunge.
Hawa wanaojitangaza kupewa PhD ni wazazi je, watoto wao wanaona kuna sababu yoyote ya kusoma PhD? Maana baba zao hawakusoma hata cheti, lakini wanapewa PhD. Bahati mbaya kizazi cha wanasiasa ndio hicho tena kinaingizwa katika siasa kwa mbinu zote.
Baba ni mwizi, ana Phd ya mchongo na mtoto amekuwa akiona hayo. Ndio maana tunaona watoto wa wansiasa walioko katika siasa, hakuna mtu wa maana zaidi ya kubebwa.