SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Udhaifu wa rais Kikwete umesababisha CCM kuamua kutumia kura ya maoni kupitisha jina la mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho. Uamuzi ambao umetangazwa na Wilson Mkama (Katibu Mkuu). Je hatua sahihi kuvua gamba kwa nini isianze na kuwatimua mafisadi ambao tayari wametajwa kabla ya kurukia urais wa 2015? Je hiki nacho ni kiinimacho kingine kama kawa?
:der:Mwekezaji akija mnakamilisha taratibu haraka haraka, anawekeza; mnaendelea.
(Kikwete na mipango ya maendeleo; no wonder hajui why TZ ni maskini!)
:der:Mwekezaji akija mnakamilisha taratibu haraka haraka, anawekeza; mnaendelea.
(Kikwete na mipango ya maendeleo; no wonder hajui why TZ ni maskini!)