IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Miaka fulani kabla hajawa Rais aliwahi kumfukuza mwanae Miraji toka home, Kwa Wataalamu wa Malezi ya watoto mfumo huo huitwa Autocratic , yaani anachofikiria Mzazi ndicho anachoamua pasipo kujali interest za Mtoto. Hali hii inajionesha katika Maamuzi mengi anayoyafanya sasa ambayo hayajali Interests za Watanzania yeye kama baba wa familia inayoitwa Tanzania. Kuna madhaifu yake mengi sana katika maamuzi yake katika familia yake ambayo kimsingi, kwa kuwa uongozi bora huanzia kwenye familia, na ameshindwa, thats why anaonesha udhaifu katika kufanya maamuzi yenye kujali Maslahi ya Watanzania..
Huu ni muono wangu wa Kitaalamu
Huu ni muono wangu wa Kitaalamu