Udhaifu wa JK ulifanya wapinzani wajione ni sehemu ya utawala

sheiza

JF-Expert Member
Sep 29, 2010
7,564
11,478
Tunatambua nguvu ya upinzani hasa chadema enzi za jk. Walikuwa na uwezo wa kwenda popote hata ikulu, lakini walikuwa na uwezo wa kusema chochote pasipokuhojiwa.

Hii ilichangiwa na udhaifu mkubwa wa kitaasisi ya urais aliyoonyesha jk. Kiasi ambacho hata wanaccm walihisi nafasi ya urais inamfaa yoyote.

Kitendo cha rais jk kunyamazia ama kuchukulia poa kila jambo ilipelekea hata kuzomewa kule chuo kikuu, lakini mbaya zaidi msafara wake ulipigwa mawe kule tegeta. Halima Mdee alikuja bungeni na kuzungumzia kwa kejeli kuwa alishtuliwa tu.

Haya mambo yaliwapa upinzani nafasi kubwa ya kuona wana nguvu sana nchini. Kila walipoguswa walikuja na matamko makali ikiwemo nchi haitatawalika. Walihisi wana nguvu sana kuliko watawala na kwamba wanaweza chukua nchi.

Upinzani walizoea kutishia serikali, lakini waliwatukana na kuwachafua wanasiasa wa ccm walionekana wana nguvu. Hakuna aliyewasema. Walivunja sheria walivyotaka ikiwemo maandamano na mikutano.

Leo wanahaha baada ya kiongozi strong kuwatia roba. Mwaka wa tano sasa si mbowe wala wenzie hawaijui ikulu. Kwa sasa wanaiona kwa nje wakipita au kwenye video kama bibi yangu kule muheza.

Mikutano wanaifanya ila kwa kuchunga sana kauli. Maana siku hizi ukiongea pumba tu ukishuka jela inakuhusu kama ilivyokuwa kwa sugu na lema.

Kwa sasa hata hoja ya ufisadi iliyowajenga kisiasa hawana tena. Walitegemea madhaifu ya ccm, leo ccm inanyoosha wamebaki kupinga maendeleo. Wameona wananchi wamewageuka sasa wameacha kupinga maendeleo.

Kwa sasa tegemeo lao kuu ni viongozi wa dini wachache. Maana wengi wameshawakimbia. Wameona ni upuuzi kupinga maendeleo ya nchi. Wanasubiri wachungaji wa kaskazini walionyooshwa na utawala waongee nao wadakie.

Upinzani uluzoea vya kunyonga enzi za jk, leo wanahaha tu.
 
Viatu vya JK ni vikubwa sana kwa utawala huu kuvivaa

Mnajitahidi sana kumshusha JK ili mtuaminishe kuwa jamaa yenu anapiga kazi kweli.

Hakuna haja ya kupiga propaganda, Pigeni kazi tuwaone.

Kazi kibao nzuri za JK tunazijua, tukitaka tunaweza kuziorodhosha hapa, ni nyingi ni nyingi tu na ni nzuri mno ila sema JK siyo mtu wa Misifa hakuwa na haja ya kufunguangua vitu vidogo vidogo kama matawi ya benki ili aonekane, hakuwa na haja ya kuonyeshwa LIVE TBC bali badala yake alituacha tuone bunge letu LIVE badala ya kumuangalia yeye LIVE kila siku!

JK alikuwa na mapungufu yake, lakini hakuwa katili, hakudhulumu wakulima wa korosho, Njaa ilipopiga kwenye maeneo mbalimbali hakuwaambia wenye njaa kufeni bali aliwaambia hakuna mtu atakayekufa kwa njaa, Majanga yalipopiga hakuzipigaia mahesabu pesa za rambirambi, hakushushua watu kwenye majukwaa ili aonekane ana nguvu na mamlaka, Hakupoteza watu, Alikuwa mwanasiasa aliyefanya saisa, hakuogopa jukwaa la ushindani wa kisiasa kushindana na wapinzani kisiasa, hakuonea wapinzani, hakutwaa korosho za wakulima kimabavu na wala hakuvuruga zao la kahawa nchini, wafanyakazi kipindi cha JK maslahi yao yalizingatiwa, na Bajeti ya Elimu kipindi cha JK ilikuwa zaidi ya mara tano kutoka bilion 600 kipindi cha BWM hadi Trilion 3 mwaka 2013 kutokana na kuongezeka kwa shule za kata na pia kuongezeka kwa enrollment ya wanafunzi kwenye vyuo vikuu baada ya kujenga vyuo vikuu vipya na pia kuvigeuza baadhi ya vyuo vya zamani kutoka kuwa vya advanced diploma na kuvifanya viwe vyuo vikuu, kwa hiyo budget ya Elimu ikaongezeka sana

IDADI YA KM ZA LAMI ALIZOWEKA JK, IDADI YA VIVUKO, IDADI YA MADARAJA MAKUBWA (ACHILIA MBALI VIDARAJA VIDOGO) NI BAADHI TU YA KAZI ZA JK ZA KUKUMBUKWA

KWA KWA HIYO HAMUWEZI KUWA JUU KWA KUMSHUSHA JK, FANYENI YENU TUONE!!!
 
Viatu vya JK ni vikubwa sana kwa utawala huu kuvivaa

Mnajitahidi sana kumshusha JK ili mtuaminishe kuwa jamaa yenu anapiga kazi kweli.

Hakuna haja ya kupiga propaganda, Pigeni kazi tuwaone.

Kazi za JK tunazijua, tukitaka tunaweza kuziorodhosha hapa, ni nyingi ni nyingi tu ila JK siyo mtu wa Misifa hakuwa na haja ya kufunguangua vitu vidogo vidogo kama matawi ya benki, hakuwa na haja ya kuonyeshwa LIVE TBC bali badala yake alituacha tuone bunge letu LIVE

JK alikuwa na mapungufu yake, lakini hakuwa katili, hakudhulumu wakulima wa korosho, Njaa ilipopiga kwenye maeneo mbalimbali hakuwaambia wenye njaa kufeni bali aliwaambia hakuna mtu atakayekufa kwa njaa, Majanga yalipopiga hakuzipigaia mahesabu pesa za rambirambi, hakushushua watu kwenye majukwaa ili aonekane ana nguvu na mamlaka, Hakupoteza watu, Alikuwa mwanasiasa aliyefanya saisa, hakuogopa jukwaa la ushindani wa kisiasa kushindana na wapinzani kisiasa, hakuonea wapinzani, hakutwaa korosho za wakulima kimabavu na wala hakuvuruga zao la kahawa nchini, wafanyakazi kipindi cha JK maslahi yao yalizingatiwa, na Bajeti ya Elimu kipindi cha JK ilikuwa zaidi ya mara tano kutoka bilion 600 kipindi cha BWM hadi Trilion 3 mwaka 2013 kutokana na kuongezeka kwa shule za kata na pia kuongezeka kwa enrollment ya wanafunzi kwenye vyuo vikuu baada ya kujenga vyuo vikuu vipya na pia kuvigeuza baadhi ya vyuo vya zamani kutoka kuwa vya advanced diploma na kuvifanya viwe vyuo vikuu, kwa hiyo budget ya Elimu ikaongezeka sana


KWA KWA HIYOHIYOHAMUWEZI KUWA JUU KWA KUMSHUSHA JK, FANYENI YENU TUONE!!!
Miradi yote anayofanya magufuli sasa ikiwemo Reli flyover ilianzishwa na kikwete ni vichache sana vilivyoanzishwa na magufuli upya ikiwemo chato Airport Bandari ya chato na uwanja wa soka chato
 
Viatu vya JK ni vikubwa sana kwa utawala huu kuvivaa

Mnajitahidi sana kumshusha JK ili mtuaminishe kuwa jamaa yenu anapiga kazi kweli.

Hakuna haja ya kupiga propaganda, Pigeni kazi tuwaone.

Kazi kibao nzuri za JK tunazijua, tukitaka tunaweza kuziorodhosha hapa, ni nyingi ni nyingi tu ila sema JK siyo mtu wa Misifa hakuwa na haja ya kufunguangua vitu vidogo vidogo kama matawi ya benki ili aonekane, hakuwa na haja ya kuonyeshwa LIVE TBC bali badala yake alituacha tuone bunge letu LIVE badala ya kumuangalia yeye LIVE kila siku!

JK alikuwa na mapungufu yake, lakini hakuwa katili, hakudhulumu wakulima wa korosho, Njaa ilipopiga kwenye maeneo mbalimbali hakuwaambia wenye njaa kufeni bali aliwaambia hakuna mtu atakayekufa kwa njaa, Majanga yalipopiga hakuzipigaia mahesabu pesa za rambirambi, hakushushua watu kwenye majukwaa ili aonekane ana nguvu na mamlaka, Hakupoteza watu, Alikuwa mwanasiasa aliyefanya saisa, hakuogopa jukwaa la ushindani wa kisiasa kushindana na wapinzani kisiasa, hakuonea wapinzani, hakutwaa korosho za wakulima kimabavu na wala hakuvuruga zao la kahawa nchini, wafanyakazi kipindi cha JK maslahi yao yalizingatiwa, na Bajeti ya Elimu kipindi cha JK ilikuwa zaidi ya mara tano kutoka bilion 600 kipindi cha BWM hadi Trilion 3 mwaka 2013 kutokana na kuongezeka kwa shule za kata na pia kuongezeka kwa enrollment ya wanafunzi kwenye vyuo vikuu baada ya kujenga vyuo vikuu vipya na pia kuvigeuza baadhi ya vyuo vya zamani kutoka kuwa vya advanced diploma na kuvifanya viwe vyuo vikuu, kwa hiyo budget ya Elimu ikaongezeka sana


KWA KWA HIYOHIYOHAMUWEZI KUWA JUU KWA KUMSHUSHA JK, FANYENI YENU TUONE!!!
Kweli kabisa
 
Kweli kabisa
CCM wakitaka kujua Tanzania kuna upinzani wafanye chaguzi za huru na haki kuwe na Tume huru ya uchaguzi na pia wapunguze idadi ya vyama vya upinzani visalie viwili kama marekani au vinne kama South Africa waache kuiga style ya Congo kuwa na utitiri wa vyama kama nzige matokeo yake ni kuzigawa kura hovyo hovyo kutokana na unafiki wa upinzani ule Mdogo Mdogo kama wa akina cheyo, mrema, Dovutwa, na wenzao, waige ulaya UK, German kuwe na vyama vichache vyenye nguvu ndipo nchi itapiga hatua kimaendeleo.
 
jk hakuongoza nchi kama isuzu ya mwarabu,aliachia taasisi za kinchi zifanye kazi,na wala upinzani haukujiona kuwa ni sehemu ya utawala bali ni sehemu ya kuikosoa serikali,kwa upimaji makini ni kwamba mafanikio yake,na udhaifu wake utaonekana dhahiri,pia tukumbuke kuhesabu dhambi za mwenzio haukufanyi wewe kwenda mbinguni
 
Naunga mkono hoja
Ni kweli hata vichaa kama wewe wameongezeka

Nakubaliana na wewe kabisa kuwa wewe ni moja ya wapumbavu wenye uelewa mdogo hapa Jf, Hilo nakuunga mkono

Ni kweli umeandika mawazo yako taka taka hapa, Hilo Nakubaliana na wewe kabisa

Juhudi unazofanya za kuchambua ujinga wako moja kwa moja zitasaidia watoto wako na wazazi wako kuanza kupanda dreamliner kuelekea Delware marekani
Tunatambua nguvu ya upinzani hasa chadema enzi za jk. Walikuwa na uwezo wa kwenda popote hata ikulu, lakini walikuwa na uwezo wa kusema chochote pasipokuhojiwa.

Hii ilichangiwa na udhaifu mkubwa wa kitaasisi ya urais aliyoonyesha jk. Kiasi ambacho hata wanaccm walihisi nafasi ya urais inamfaa yoyote.

Kitendo cha rais jk kunyamazia ama kuchukulia poa kila jambo ilipelekea hata kuzomewa kule chuo kikuu, lakini mbaya zaidi msafara wake ulipigwa mawe kule tegeta. Halima Mdee alikuja bungeni na kuzungumzia kwa kejeli kuwa alishtuliwa tu.

Haya mambo yaliwapa upinzani nafasi kubwa ya kuona wana nguvu sana nchini. Kila walipoguswa walikuja na matamko makali ikiwemo nchi haitatawalika. Walihisi wana nguvu sana kuliko watawala na kwamba wanaweza chukua nchi.

Upinzani walizoea kutishia serikali, lakini waliwatukana na kuwachafua wanasiasa wa ccm walionekana wana nguvu. Hakuna aliyewasema. Walivunja sheria walivyotaka ikiwemo maandamano na mikutano.

Leo wanahaha baada ya kiongozi strong kuwatia roba. Mwaka wa tano sasa si mbowe wala wenzie hawaijui ikulu. Kwa sasa wanaiona kwa nje wakipita au kwenye video kama bibi yangu kule muheza.

Mikutano wanaifanya ila kwa kuchunga sana kauli. Maana siku hizi ukiongea pumba tu ukishuka jela inakuhusu kama ilivyokuwa kwa sugu na lema.

Kwa sasa hata hoja ya ufisadi iliyowajenga kisiasa hawana tena. Walitegemea madhaifu ya ccm, leo ccm inanyoosha wamebaki kupinga maendeleo. Wameona wananchi wamewageuka sasa wameacha kupinga maendeleo.

Kwa sasa tegemeo lao kuu ni viongozi wa dini wachache. Maana wengi wameshawakimbia. Wameona ni upuuzi kupinga maendeleo ya nchi. Wanasubiri wachungaji wa kaskazini walionyooshwa na utawala waongee nao wadakie.

Upinzani uluzoea vya kunyonga enzi za jk, leo wanahaha tu.
 
Tunatambua nguvu ya upinzani hasa chadema enzi za jk. Walikuwa na uwezo wa kwenda popote hata ikulu, lakini walikuwa na uwezo wa kusema chochote pasipokuhojiwa.

Hii ilichangiwa na udhaifu mkubwa wa kitaasisi ya urais aliyoonyesha jk. Kiasi ambacho hata wanaccm walihisi nafasi ya urais inamfaa yoyote.

Kitendo cha rais jk kunyamazia ama kuchukulia poa kila jambo ilipelekea hata kuzomewa kule chuo kikuu, lakini mbaya zaidi msafara wake ulipigwa mawe kule tegeta. Halima Mdee alikuja bungeni na kuzungumzia kwa kejeli kuwa alishtuliwa tu.

Haya mambo yaliwapa upinzani nafasi kubwa ya kuona wana nguvu sana nchini. Kila walipoguswa walikuja na matamko makali ikiwemo nchi haitatawalika. Walihisi wana nguvu sana kuliko watawala na kwamba wanaweza chukua nchi.

Upinzani walizoea kutishia serikali, lakini waliwatukana na kuwachafua wanasiasa wa ccm walionekana wana nguvu. Hakuna aliyewasema. Walivunja sheria walivyotaka ikiwemo maandamano na mikutano.

Leo wanahaha baada ya kiongozi strong kuwatia roba. Mwaka wa tano sasa si mbowe wala wenzie hawaijui ikulu. Kwa sasa wanaiona kwa nje wakipita au kwenye video kama bibi yangu kule muheza.

Mikutano wanaifanya ila kwa kuchunga sana kauli. Maana siku hizi ukiongea pumba tu ukishuka jela inakuhusu kama ilivyokuwa kwa sugu na lema.

Kwa sasa hata hoja ya ufisadi iliyowajenga kisiasa hawana tena. Walitegemea madhaifu ya ccm, leo ccm inanyoosha wamebaki kupinga maendeleo. Wameona wananchi wamewageuka sasa wameacha kupinga maendeleo.

Kwa sasa tegemeo lao kuu ni viongozi wa dini wachache. Maana wengi wameshawakimbia. Wameona ni upuuzi kupinga maendeleo ya nchi. Wanasubiri wachungaji wa kaskazini walionyooshwa na utawala waongee nao wadakie.

Upinzani uluzoea vya kunyonga enzi za jk, leo wanahaha tu.
Hizi akili hizi!,Ikulu sio Mali ya CCM,
Inaendeshwa na kodi za watanzania,sio michango ya wanachama wa CCM.
Kati ya JK na JPM nani dhaifu!aliye kubali kukosolewa,na kusikiliza hoja mbadala,au ambaye anaogopa hata kusikia hoja mbadala za wapinzani.
Kama mnakubalika na wananchi,nini kinachowafanya muogope,mminye Uhuru wa kujieleza?
Mnafikiri mkiminya watu wasiseme ndio maendeleo yatakuja?SA wanademokrasia ya kuweza kumtoa Raisi madarakani,lakini maendeleo yao,hatutayafikia kwa miaka mia!
Huyu wa sasa HV,ndio dhaifu kuriko wote
 
Tunatambua nguvu ya upinzani hasa chadema enzi za jk. Walikuwa na uwezo wa kwenda popote hata ikulu, lakini walikuwa na uwezo wa kusema chochote pasipokuhojiwa.

Hii ilichangiwa na udhaifu mkubwa wa kitaasisi ya urais aliyoonyesha jk. Kiasi ambacho hata wanaccm walihisi nafasi ya urais inamfaa yoyote.

Kitendo cha rais jk kunyamazia ama kuchukulia poa kila jambo ilipelekea hata kuzomewa kule chuo kikuu, lakini mbaya zaidi msafara wake ulipigwa mawe kule tegeta. Halima Mdee alikuja bungeni na kuzungumzia kwa kejeli kuwa alishtuliwa tu.

Haya mambo yaliwapa upinzani nafasi kubwa ya kuona wana nguvu sana nchini. Kila walipoguswa walikuja na matamko makali ikiwemo nchi haitatawalika. Walihisi wana nguvu sana kuliko watawala na kwamba wanaweza chukua nchi.

Upinzani walizoea kutishia serikali, lakini waliwatukana na kuwachafua wanasiasa wa ccm walionekana wana nguvu. Hakuna aliyewasema. Walivunja sheria walivyotaka ikiwemo maandamano na mikutano.

Leo wanahaha baada ya kiongozi strong kuwatia roba. Mwaka wa tano sasa si mbowe wala wenzie hawaijui ikulu. Kwa sasa wanaiona kwa nje wakipita au kwenye video kama bibi yangu kule muheza.

Mikutano wanaifanya ila kwa kuchunga sana kauli. Maana siku hizi ukiongea pumba tu ukishuka jela inakuhusu kama ilivyokuwa kwa sugu na lema.

Kwa sasa hata hoja ya ufisadi iliyowajenga kisiasa hawana tena. Walitegemea madhaifu ya ccm, leo ccm inanyoosha wamebaki kupinga maendeleo. Wameona wananchi wamewageuka sasa wameacha kupinga maendeleo.

Kwa sasa tegemeo lao kuu ni viongozi wa dini wachache. Maana wengi wameshawakimbia. Wameona ni upuuzi kupinga maendeleo ya nchi. Wanasubiri wachungaji wa kaskazini walionyooshwa na utawala waongee nao wadakie.

Upinzani uluzoea vya kunyonga enzi za jk, leo wanahaha tu.
Me nachojua na nitaendelea kuamini. Utawala wa Bwana JK, haukuhitaji promo nyingi kutuaminisha. Bali vitendo ndio viliongea. Past ni Demokrasia
#Now ni Demo-Ghasia
 
Ndege kumi zimefufua ATCL. Zahanati zinajengwa kwa wingi. Bajeti ya afya imeongezeka kwa kiasi kikubwa.

Mengi yanafanyika. Wapenda harakati na siasa za kimagharibi wanabakia kuongelea uhuru wa habari.

Uhuru mwingi unakusaidia nini wakati tumbo linaimba acapella kwa sababu ya njaa!!.
 
Tunatambua nguvu ya upinzani hasa chadema enzi za jk. Walikuwa na uwezo wa kwenda popote hata ikulu, lakini walikuwa na uwezo wa kusema chochote pasipokuhojiwa.

Hii ilichangiwa na udhaifu mkubwa wa kitaasisi ya urais aliyoonyesha jk. Kiasi ambacho hata wanaccm walihisi nafasi ya urais inamfaa yoyote.

Kitendo cha rais jk kunyamazia ama kuchukulia poa kila jambo ilipelekea hata kuzomewa kule chuo kikuu, lakini mbaya zaidi msafara wake ulipigwa mawe kule tegeta. Halima Mdee alikuja bungeni na kuzungumzia kwa kejeli kuwa alishtuliwa tu.

Haya mambo yaliwapa upinzani nafasi kubwa ya kuona wana nguvu sana nchini. Kila walipoguswa walikuja na matamko makali ikiwemo nchi haitatawalika. Walihisi wana nguvu sana kuliko watawala na kwamba wanaweza chukua nchi.

Upinzani walizoea kutishia serikali, lakini waliwatukana na kuwachafua wanasiasa wa ccm walionekana wana nguvu. Hakuna aliyewasema. Walivunja sheria walivyotaka ikiwemo maandamano na mikutano.

Leo wanahaha baada ya kiongozi strong kuwatia roba. Mwaka wa tano sasa si mbowe wala wenzie hawaijui ikulu. Kwa sasa wanaiona kwa nje wakipita au kwenye video kama bibi yangu kule muheza.

Mikutano wanaifanya ila kwa kuchunga sana kauli. Maana siku hizi ukiongea pumba tu ukishuka jela inakuhusu kama ilivyokuwa kwa sugu na lema.

Kwa sasa hata hoja ya ufisadi iliyowajenga kisiasa hawana tena. Walitegemea madhaifu ya ccm, leo ccm inanyoosha wamebaki kupinga maendeleo. Wameona wananchi wamewageuka sasa wameacha kupinga maendeleo.

Kwa sasa tegemeo lao kuu ni viongozi wa dini wachache. Maana wengi wameshawakimbia. Wameona ni upuuzi kupinga maendeleo ya nchi. Wanasubiri wachungaji wa kaskazini walionyooshwa na utawala waongee nao wadakie.

Upinzani uluzoea vya kunyonga enzi za jk, leo wanahaha tu.
HAKIKA
 
Ndege kumi zimefufua ATCL. Zahanati zinajengwa kwa wingi. Bajeti ya afya imeongezeka kwa kiasi kikubwa.

Mengi yanafanyika. Wapenda harakati na siasa za kimagharibi wanabakia kuongelea uhuru wa habari.

Uhuru mwingi unakusaidia nini wakati tumbo linaimba acapella kwa sababu ya njaa!!.
Kwani uhuru wa habari upo sasa?

Au kutekwa na kupigwa risasi kumetawala? Hali ya mtaani Je? Tembea kada mikoa mingine sio kupanda daladala ya njia yake na kuzunguka tu.
 
Viatu vya JK ni vikubwa sana kwa utawala huu kuvivaa

Mnajitahidi sana kumshusha JK ili mtuaminishe kuwa jamaa yenu anapiga kazi kweli.

Hakuna haja ya kupiga propaganda, Pigeni kazi tuwaone.

Kazi kibao nzuri za JK tunazijua, tukitaka tunaweza kuziorodhosha hapa, ni nyingi ni nyingi tu na ni nzuri mno ila sema JK siyo mtu wa Misifa hakuwa na haja ya kufunguangua vitu vidogo vidogo kama matawi ya benki ili aonekane, hakuwa na haja ya kuonyeshwa LIVE TBC bali badala yake alituacha tuone bunge letu LIVE badala ya kumuangalia yeye LIVE kila siku!

JK alikuwa na mapungufu yake, lakini hakuwa katili, hakudhulumu wakulima wa korosho, Njaa ilipopiga kwenye maeneo mbalimbali hakuwaambia wenye njaa kufeni bali aliwaambia hakuna mtu atakayekufa kwa njaa, Majanga yalipopiga hakuzipigaia mahesabu pesa za rambirambi, hakushushua watu kwenye majukwaa ili aonekane ana nguvu na mamlaka, Hakupoteza watu, Alikuwa mwanasiasa aliyefanya saisa, hakuogopa jukwaa la ushindani wa kisiasa kushindana na wapinzani kisiasa, hakuonea wapinzani, hakutwaa korosho za wakulima kimabavu na wala hakuvuruga zao la kahawa nchini, wafanyakazi kipindi cha JK maslahi yao yalizingatiwa, na Bajeti ya Elimu kipindi cha JK ilikuwa zaidi ya mara tano kutoka bilion 600 kipindi cha BWM hadi Trilion 3 mwaka 2013 kutokana na kuongezeka kwa shule za kata na pia kuongezeka kwa enrollment ya wanafunzi kwenye vyuo vikuu baada ya kujenga vyuo vikuu vipya na pia kuvigeuza baadhi ya vyuo vya zamani kutoka kuwa vya advanced diploma na kuvifanya viwe vyuo vikuu, kwa hiyo budget ya Elimu ikaongezeka sana

IDADI YA KM ZA LAMI ALIZOWEKA JK, IDADI YA VIVUKO, IDADI YA MADARAJA MAKUBWA (ACHILIA MBALI VIDARAJA VIDOGO) NI BAADHI TU YA KAZI ZA JK ZA KUKUMBUKWA

KWA KWA HIYO HAMUWEZI KUWA JUU KWA KUMSHUSHA JK, FANYENI YENU TUONE!!!
[/QUOTE
Umeeleweka sana Mkuu, post yako haina cha kuongeza....
 
Tunatambua nguvu ya upinzani hasa chadema enzi za jk. Walikuwa na uwezo wa kwenda popote hata ikulu, lakini walikuwa na uwezo wa kusema chochote pasipokuhojiwa.

Hii ilichangiwa na udhaifu mkubwa wa kitaasisi ya urais aliyoonyesha jk. Kiasi ambacho hata wanaccm walihisi nafasi ya urais inamfaa yoyote.

Kitendo cha rais jk kunyamazia ama kuchukulia poa kila jambo ilipelekea hata kuzomewa kule chuo kikuu, lakini mbaya zaidi msafara wake ulipigwa mawe kule tegeta. Halima Mdee alikuja bungeni na kuzungumzia kwa kejeli kuwa alishtuliwa tu.

Haya mambo yaliwapa upinzani nafasi kubwa ya kuona wana nguvu sana nchini. Kila walipoguswa walikuja na matamko makali ikiwemo nchi haitatawalika. Walihisi wana nguvu sana kuliko watawala na kwamba wanaweza chukua nchi.

Upinzani walizoea kutishia serikali, lakini waliwatukana na kuwachafua wanasiasa wa ccm walionekana wana nguvu. Hakuna aliyewasema. Walivunja sheria walivyotaka ikiwemo maandamano na mikutano.

Leo wanahaha baada ya kiongozi strong kuwatia roba. Mwaka wa tano sasa si mbowe wala wenzie hawaijui ikulu. Kwa sasa wanaiona kwa nje wakipita au kwenye video kama bibi yangu kule muheza.

Mikutano wanaifanya ila kwa kuchunga sana kauli. Maana siku hizi ukiongea pumba tu ukishuka jela inakuhusu kama ilivyokuwa kwa sugu na lema.

Kwa sasa hata hoja ya ufisadi iliyowajenga kisiasa hawana tena. Walitegemea madhaifu ya ccm, leo ccm inanyoosha wamebaki kupinga maendeleo. Wameona wananchi wamewageuka sasa wameacha kupinga maendeleo.

Kwa sasa tegemeo lao kuu ni viongozi wa dini wachache. Maana wengi wameshawakimbia. Wameona ni upuuzi kupinga maendeleo ya nchi. Wanasubiri wachungaji wa kaskazini walionyooshwa na utawala waongee nao wadakie.

Upinzani uluzoea vya kunyonga enzi za jk, leo wanahaha tu.
Kaulize vizuri babu zako, itakuwa una asili ya utumwa wewe. Kwa kukusaidia, watu wenye asili ya utumwa huwa na tabia za roho mbaya, kutafuta legitimacy za kijinga, kufurahia watu wengine kutaabika, chuki, visasi, kupenda unyampara, kupenda kujikweza na kujitukuza nk. Ukiona una visifa vya namna hiyo basi jua kwenu kuna asili ya utumwa.
 
Tunatambua nguvu ya upinzani hasa chadema enzi za jk. Walikuwa na uwezo wa kwenda popote hata ikulu, lakini walikuwa na uwezo wa kusema chochote pasipokuhojiwa.

Hii ilichangiwa na udhaifu mkubwa wa kitaasisi ya urais aliyoonyesha jk. Kiasi ambacho hata wanaccm walihisi nafasi ya urais inamfaa yoyote.

Kitendo cha rais jk kunyamazia ama kuchukulia poa kila jambo ilipelekea hata kuzomewa kule chuo kikuu, lakini mbaya zaidi msafara wake ulipigwa mawe kule tegeta. Halima Mdee alikuja bungeni na kuzungumzia kwa kejeli kuwa alishtuliwa tu.

Haya mambo yaliwapa upinzani nafasi kubwa ya kuona wana nguvu sana nchini. Kila walipoguswa walikuja na matamko makali ikiwemo nchi haitatawalika. Walihisi wana nguvu sana kuliko watawala na kwamba wanaweza chukua nchi.

Upinzani walizoea kutishia serikali, lakini waliwatukana na kuwachafua wanasiasa wa ccm walionekana wana nguvu. Hakuna aliyewasema. Walivunja sheria walivyotaka ikiwemo maandamano na mikutano.

Leo wanahaha baada ya kiongozi strong kuwatia roba. Mwaka wa tano sasa si mbowe wala wenzie hawaijui ikulu. Kwa sasa wanaiona kwa nje wakipita au kwenye video kama bibi yangu kule muheza.

Mikutano wanaifanya ila kwa kuchunga sana kauli. Maana siku hizi ukiongea pumba tu ukishuka jela inakuhusu kama ilivyokuwa kwa sugu na lema.

Kwa sasa hata hoja ya ufisadi iliyowajenga kisiasa hawana tena. Walitegemea madhaifu ya ccm, leo ccm inanyoosha wamebaki kupinga maendeleo. Wameona wananchi wamewageuka sasa wameacha kupinga maendeleo.

Kwa sasa tegemeo lao kuu ni viongozi wa dini wachache. Maana wengi wameshawakimbia. Wameona ni upuuzi kupinga maendeleo ya nchi. Wanasubiri wachungaji wa kaskazini walionyooshwa na utawala waongee nao wadakie.

Upinzani uluzoea vya kunyonga enzi za jk, leo wanahaha tu.
Saiz watu wanapotea unaona rahaaaa eti?
 
JK is a diplomatic leader and most genious prez, Alijua tatizo la Watanzania sio UPINZANI kwahiyo hakudeal na wapinzani, wala tatizo halikua PRESS waandishi walimwandika sana ila hawakupotea, JK was humble sio nimeweka hiki, nimejenga kile, He did what real PRESIDENTS do, i am sorry JK.
 
Ndege kumi zimefufua ATCL. Zahanati zinajengwa kwa wingi. Bajeti ya afya imeongezeka kwa kiasi kikubwa.

Mengi yanafanyika. Wapenda harakati na siasa za kimagharibi wanabakia kuongelea uhuru wa habari.

Uhuru mwingi unakusaidia nini wakati tumbo linaimba acapella kwa sababu ya njaa!!.
Ndio watu wanawauliza hizo Ndege zinatua Baharini? Ni kutoelewa maana na misingi ya utawala bora tu ndicho kinawapa tabu. Ndivyo nchi inavyojengwa, alikoishia mtangulizi wako ndipo unapoanzia na kuendelea. Elimu bure isingekuwepo kama shule zisingekuwepo.Mikopo kwa elimu ya juu isingekuwepo kama vyuo na bodi ya mikopo visingekuwepo. Stiglers Gorge isingekuwepo kama waliotangulia wasingetunza mbuga hiyo. Msingeenda kolomije kwa Ist kama waliotangulia wasingejenga barabara kwa lami hadi huko. NI ukolomije tu unaowasumbua.
 
Back
Top Bottom