Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Kama Mkristo, naomba nitangaze wazi interest ili niweze kuhukumiwa vyema kwa mchango wangu katika kuijenga Tanzania tuitakayo. Wataalamu huwa wanasema uongo ukisemwa sana bila kukanushwa hubadilika na kuwa kweli. Yafuatayo ni Majibu dhidi ya Hoja za Saeed:
Ni Ukanda upi Tanzania watu wamekuwa wakiongezeka nchini kwa kasi tangu Sensa ya 1957? Je, ni eneo gani nchini lina wapagani wengi?
Jibu: Mikoa iliyoongoza kwa ongezeko la watu kati ya 1957 - 2012, ni kama ifuatavyo:
1: Dar: 160,000 - 4,300,000.
2: Mwanza: 800,000 - 3,800,000.
3: Shinyanga: 700,000 - 3,500,000.
4: Arusha: 400,000 - 3,100,000.
5: Kagera: 510,000 - 2,800,000.
6: Mbeya: 600,000 - 2,700,000.
><
16: Ruvuma: 270,000 - 1,300,000.
17: Singida: 370,000 - 1,300,000.
18: Mtwara: 500,000 - 1,200,000.
19: Pwani: 360,000 - 1,100,000.
20: Lindi: 320,000 - 860,000.
Hapo mtaona ni Mikoa gani watu huongezeka sana.
Pia, ni vyema ijulikane kuwa, Uislamu unachanganya Dini na Utawala, so wananchi karibia wote (99%) wa Ukanda wa Pwani - Pwani, Dar, Lindi na Mtwara walikuwa Waislamu. Hivyo, usingetarajia kuwepo wapagani katika Mikoa hiyo wa kujiunga na uislamu kwa kuwa hawakuwepo. Hata katika Mikoa jirani ya Tanga, Morogoro na Ruvuma wapagani ni wachache kulinganisha na Mikoa mingine ya kikristo. Hivyo, ni wazi, wapagani wengi wamekuwa likely kujiunga na ukristo.
Swali: kama Wakoloni waliwaonea Waislamu na kuwabeba Wakristo, kwa nini walitoa takwimu zinazoonyesha Waislamu kuwa wengi kwenye Sensa za 1948 & 1957?
Hapa unataka kuuambia umma kuwa, ni Waislamu waliopigana kwenye Maji Maji, Ndiyo maana Wakristo waliwasaidia Wajerumani? Ukisema baadhi ya Wakristo unaongelea waajiriwa ama wa kujitolea? Kama Waislamu ndio waliotaka kuwaondoa Wakoloni, mbona Vuguvugu la Kiislamu AMNUT ndilo lililotaka Tanganyika isipewe Uhuru 1961 eti mpaka tofauti ya kielimu kati ya Waislamu na Wakristo imalizwe? Je, hiyo haionyeshi kuwa waliona wenzao Wakristo kuwa ndio maadui kuliko Wakoloni?
Wakristo walikuwa waajiliwa wa Wazungu, ungetegemea wafanyeje kipindi cha Inter-World Wars wakati pote Africa hakuna ambako Waafrika walifanikiwa kupata uhuru, zaidi ya Walowezi wa S. Rhodesia kupewa madaraka ya ndani na Uhuru wa Egypt in 1922? Mlitaka wafukuzwe kazi wawe kama ninyi mkafanye wote kazi za makuli? Baada ya Colonial Resistances kufeli vibaya Afrika nzima wananchi waligundua kuwa, mkoloni asingeondolewa nchini kwa mtutu wa bunduki bali kwa akili hivyo walianza kusomesha watoto wao kwenye shule za wamisionari. Suala la Wamisionari kuwakataza waumini wao kupinga ukoloni ni kitu cha kawaida coz Wazungu wenzao ndo waliokuwa watawala.
Mwanzilishi wa TANU - Labda utuambie vinginevyo, historia inaonyesha Nyerere alichaguliwa kuwa Rais wa TAA kabla TANU haijaundwa na ni yeye aliyependekeza kubadilisha jina la TAA kuwa TANU. Alitaka jina la Chama liakisi Utaifa (Nationalism) kutoka jina lililoakisi Uafrika (Pan Africanism) ili kubadilisha mtazamo wa Chama kutoka Chama cha kutetea maslahi ya wafanyakazi hadi Chama cha kupigania uhuru kamili.
Dunia nzima, kiongozi aliyeleta uhuru ndiye anayefahamika na kukumbukwa. Hata ukienda SA, Msumbiji, Zimbabwe, Kenya, Ghana na kwingine, watu kama: Mandela, Machel, Mugabe, Kenyatta, Nkrumah ndio walioandikwa sana but walikuwepo viongozi muhimu na waliofanya mikubwa kwenye vita ya ukombozi kama: Oliver Thambo, Eduardo Mondlane, Joshua Nkomo, Tom Mboya na JB Danquah. Hata hivyo, bila kupepesa macho, kabla ya Nyerere, Viongozi waliokuwepo hawakuonyesha sifa za kiuongozi za kuweza kuliunganisha Taifa, ndo maana TAA haikuweza kuunganisha watu wa mijini na wa vijijini.
Suala la kufeli ama kufaulu halihusiani kabisa na Sera za Serikali. Kama EAMWS ilidhohofishwa na Nyerere, kwani Mwinyi na Kikwete walifanya kitu gani ili kuwainua Waislamu kielimu? Shule za Kata zipo kila mahali lakini iko wazi kuwa, zinazofelisha zaidi zinatoka katika maeneo hayo hayo tu? Ama kupewa nafasi za upendeleo ndicho unachomaanisha? Mbona Kikwete hakuwajengea Vyuo vikuu ukiacha kilichojengwa na Mkristo huko Morogoro? Viongozi huwa wanajua wazi kuwa elimu inatolewa nchini bila ubaguzi wa mtu bali ni uwezo tu.
ISLAM AND POLITICS IN TANZANIA
Ni Ukanda upi Tanzania watu wamekuwa wakiongezeka nchini kwa kasi tangu Sensa ya 1957? Je, ni eneo gani nchini lina wapagani wengi?
Jibu: Mikoa iliyoongoza kwa ongezeko la watu kati ya 1957 - 2012, ni kama ifuatavyo:
1: Dar: 160,000 - 4,300,000.
2: Mwanza: 800,000 - 3,800,000.
3: Shinyanga: 700,000 - 3,500,000.
4: Arusha: 400,000 - 3,100,000.
5: Kagera: 510,000 - 2,800,000.
6: Mbeya: 600,000 - 2,700,000.
><
16: Ruvuma: 270,000 - 1,300,000.
17: Singida: 370,000 - 1,300,000.
18: Mtwara: 500,000 - 1,200,000.
19: Pwani: 360,000 - 1,100,000.
20: Lindi: 320,000 - 860,000.
Hapo mtaona ni Mikoa gani watu huongezeka sana.
Pia, ni vyema ijulikane kuwa, Uislamu unachanganya Dini na Utawala, so wananchi karibia wote (99%) wa Ukanda wa Pwani - Pwani, Dar, Lindi na Mtwara walikuwa Waislamu. Hivyo, usingetarajia kuwepo wapagani katika Mikoa hiyo wa kujiunga na uislamu kwa kuwa hawakuwepo. Hata katika Mikoa jirani ya Tanga, Morogoro na Ruvuma wapagani ni wachache kulinganisha na Mikoa mingine ya kikristo. Hivyo, ni wazi, wapagani wengi wamekuwa likely kujiunga na ukristo.
Swali: kama Wakoloni waliwaonea Waislamu na kuwabeba Wakristo, kwa nini walitoa takwimu zinazoonyesha Waislamu kuwa wengi kwenye Sensa za 1948 & 1957?
Hapa unataka kuuambia umma kuwa, ni Waislamu waliopigana kwenye Maji Maji, Ndiyo maana Wakristo waliwasaidia Wajerumani? Ukisema baadhi ya Wakristo unaongelea waajiriwa ama wa kujitolea? Kama Waislamu ndio waliotaka kuwaondoa Wakoloni, mbona Vuguvugu la Kiislamu AMNUT ndilo lililotaka Tanganyika isipewe Uhuru 1961 eti mpaka tofauti ya kielimu kati ya Waislamu na Wakristo imalizwe? Je, hiyo haionyeshi kuwa waliona wenzao Wakristo kuwa ndio maadui kuliko Wakoloni?
Wakristo walikuwa waajiliwa wa Wazungu, ungetegemea wafanyeje kipindi cha Inter-World Wars wakati pote Africa hakuna ambako Waafrika walifanikiwa kupata uhuru, zaidi ya Walowezi wa S. Rhodesia kupewa madaraka ya ndani na Uhuru wa Egypt in 1922? Mlitaka wafukuzwe kazi wawe kama ninyi mkafanye wote kazi za makuli? Baada ya Colonial Resistances kufeli vibaya Afrika nzima wananchi waligundua kuwa, mkoloni asingeondolewa nchini kwa mtutu wa bunduki bali kwa akili hivyo walianza kusomesha watoto wao kwenye shule za wamisionari. Suala la Wamisionari kuwakataza waumini wao kupinga ukoloni ni kitu cha kawaida coz Wazungu wenzao ndo waliokuwa watawala.
Mwanzilishi wa TANU - Labda utuambie vinginevyo, historia inaonyesha Nyerere alichaguliwa kuwa Rais wa TAA kabla TANU haijaundwa na ni yeye aliyependekeza kubadilisha jina la TAA kuwa TANU. Alitaka jina la Chama liakisi Utaifa (Nationalism) kutoka jina lililoakisi Uafrika (Pan Africanism) ili kubadilisha mtazamo wa Chama kutoka Chama cha kutetea maslahi ya wafanyakazi hadi Chama cha kupigania uhuru kamili.
Dunia nzima, kiongozi aliyeleta uhuru ndiye anayefahamika na kukumbukwa. Hata ukienda SA, Msumbiji, Zimbabwe, Kenya, Ghana na kwingine, watu kama: Mandela, Machel, Mugabe, Kenyatta, Nkrumah ndio walioandikwa sana but walikuwepo viongozi muhimu na waliofanya mikubwa kwenye vita ya ukombozi kama: Oliver Thambo, Eduardo Mondlane, Joshua Nkomo, Tom Mboya na JB Danquah. Hata hivyo, bila kupepesa macho, kabla ya Nyerere, Viongozi waliokuwepo hawakuonyesha sifa za kiuongozi za kuweza kuliunganisha Taifa, ndo maana TAA haikuweza kuunganisha watu wa mijini na wa vijijini.
Suala la kufeli ama kufaulu halihusiani kabisa na Sera za Serikali. Kama EAMWS ilidhohofishwa na Nyerere, kwani Mwinyi na Kikwete walifanya kitu gani ili kuwainua Waislamu kielimu? Shule za Kata zipo kila mahali lakini iko wazi kuwa, zinazofelisha zaidi zinatoka katika maeneo hayo hayo tu? Ama kupewa nafasi za upendeleo ndicho unachomaanisha? Mbona Kikwete hakuwajengea Vyuo vikuu ukiacha kilichojengwa na Mkristo huko Morogoro? Viongozi huwa wanajua wazi kuwa elimu inatolewa nchini bila ubaguzi wa mtu bali ni uwezo tu.
ISLAM AND POLITICS IN TANZANIA